Tohara ya ring imeekaeje wakuu?

Tohara ya ring imeekaeje wakuu?

najua kuna makabila hawapelekwi tohara na yanazaraulika kwa wanaume wao kutokupata tohara
Ila jando siku hizi zimekufa nilienda bush ambapo sisi tulienda jando porini zaidi ya mwezi tunashinda huko huko haruhusiwi kukatisha mwanamke, sasa nilienda kipindi Cha karibuni nakuta ule utaratibu wa kuwapeleka jando za porini umekufa sasa wanawafungia tu majumbani wengine wanatahiri mmoja mmoja wakati kipindi kile ilikua wanatahiri kikundi Cha watoto wanakusanyika kutoka vijiji tofauti, tamaduni zinakufa, kwenye familia ni Mimi tu ndio nimepelekwa jando la KIUMe (porini) Simba anakatisha hapo wewe upo hapo
 
Ila jando siku hizi zimekufa nilienda bush ambapo sisi tulienda jando porini zaidi ya mwezi tunashinda huko huko haruhusiwi kukatisha mwanamke, sasa nilienda kipindi Cha karibuni nakuta ule utaratibu wa kuwapeleka jando za porini umekufa sasa wanawafungia tu majumbani wengine wanatahiri mmoja mmoja wakati kipindi kile ilikua wanatahiri kikundi Cha watoto wanakusanyika kutoka vijiji tofauti, tamaduni zinakufa, kwenye familia ni Mimi tu ndio nimepelekwa jando la KIUMe (porini) Simba anakatisha hapo wewe upo hapo
ile ndiyo ilikuwa tohara yenyewe sio hizi za siku hizi hazina mafunzo ya ushupavu wa kiume
 
Ila jando siku hizi zimekufa nilienda bush ambapo sisi tulienda jando porini zaidi ya mwezi tunashinda huko huko haruhusiwi kukatisha mwanamke, sasa nilienda kipindi Cha karibuni nakuta ule utaratibu wa kuwapeleka jando za porini umekufa sasa wanawafungia tu majumbani wengine wanatahiri mmoja mmoja wakati kipindi kile ilikua wanatahiri kikundi Cha watoto wanakusanyika kutoka vijiji tofauti, tamaduni zinakufa, kwenye familia ni Mimi tu ndio nimepelekwa jando la KIUMe (porini) Simba anakatisha hapo wewe upo hapo
 
ile ndiyo ilikuwa tohara yenyewe sio hizi za siku hizi hazina mafunzo ya ushupavu wa kiume
Kweli mkuu ile jando ni balaa aisee usiku Giza Nene mnatoka kibandani kumsindikiza mwenzenu kabanwa na haja kubwa mnakaa kumsubiri, msituni kule kuna nyoka wakali na wanyama wakali na wadudu wakali Kibanda ni Cha miti tu ya kawaida imekatwa na kujengwa kutoka kule kule Ila mitidawa, ujasiri mnaoupitia kule sio wa kawaida, Ila ndio hivyo zile tamaduni wanaziua taratibu tunaenda na usasa utandawazi unaharibu baadhi ya tamaduni zetu za asili,
 
Kweli mkuu ile jando ni balaa aisee usiku Giza Nene mnatoka kibandani kumsindikiza mwenzenu kabanwa na haja kubwa mnakaa kumsubiri, msituni kule kuna nyoka wakali na wanyama wakali na wadudu wakali Kibanda ni Cha miti tu ya kawaida imekatwa na kujengwa kutoka kule kule Ila mitidawa, ujasiri mnaoupitia kule sio wa kawaida, Ila ndio hivyo zile tamaduni wanaziua taratibu tunaenda na usasa utandawazi unaharibu baadhi ya tamaduni zetu za asili,
baridi la porini si la kitoto maana kuota moto hurusiwi utapokea kichapo. Yako mengi ya kusimulia kwa kizazi hiki kisichojua tohara ya kiume
 
baridi la porini si la kitoto maana kuota moto hurusiwi utapokea kichapo. Yako mengi ya kusimulia kwa kizazi hiki kisichojua tohara ya kiume
Acha kabisa kule hauendi na nguo ni shuka lako moja tu au Kitenge chako kimoja tu upewe na mama au upewe na Shangazi imetoka tayari unaingia Porini huna silaha yoyote ni wewe na kipisi chako na shuka lako, kukaa uchi na kutembea uchi kwenda kuokota kuni ni issue ya kawaida ndio maana walikua wanakataza wanawake wasije mapori yenye jando kuja kuokota kuni na kijana wa kiume km hujaenda jando kwenye tamaduni zetu ulikua unatengwa wanakutenga waziwazi bila kificho yaan kijana ambae haujaingia kwenda kutahiriwa wewe hutakiwi kujichanganya na vijana walioenda jando au hata wazee na watu wazima maana wewe unaonekana bado hakuna unalolijua kwenye hii dunia hujapitia msoto wa JANDO, Ila siku hizi huo utaratibu wameuua haupo tena huo utamaduni umekufa kabisa kabisa
 
Ila kuna tohara zingine za ajabu sana, kuna tohara govi linakusanywa chini ya dushe ukipona unaonekana una dushe mbili, nilikuta watu wanaoga mtoni nilishangaa sana kuona aina hiyo ya tohara. Hata ukeketaji wanawake nao upo wa ajabu vilevile. Kuna wengine wanakatwakatwa kwa kucharangwa, wengine wanabakishiwa nusu na wengine wanatolewa yote. Tohara za kawaida nazo ziko tofauti, wengine wana kidevu na wengine hawana, inategemeana na fundi wa kukata
Hujajibu swali nafikiri huijui tohara mpya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom