Tohara kwa Kabila la Wamasai

Tohara kwa Kabila la Wamasai

Ni kweli kuwa tohara ya Masai hawatoi ngozi yote, huacha Kipande kining'inie kwa chini ili kuleta raha kwa ile kitu ina run dunia?
Ni kweli inaachwa hapo kwa nyuma ya mashine yenyewe.
 
Sehemu gani Mkuu. Sema tu
Mkuu hapo pa kurudi kwenye nyumba ya mama baada ya kutahiriwa nadhani si kweli, wakisha fikia kutahiriwa huwa wametengewa chumba chao kabisa na mara nyingi huchanganywa vijana zaidi ya mmoja wa boma hilo au hata na jirani hutahiriwa pamoja. Wanakaa hapo wakitunzwa kama wazazi chakula fresh na supu kwa wingi mapak wanapo pona, na baada ya kupona huendelea kukaa hapo mpaka wafanyiwe sherehe rasmi ya KUWATOA ndani, maana kipindi chote cha tohara hawaruhusiwi kutoka, au wakishapona kabisa huweza kutoka na kutembea kwenye shughuli kama hizi za tohara lakini wakiwa na yale marubega yao meusi na kupakwa masizi meusi usoni, ikisha fanyika sherehe ya kuwatoa hapo ndipo huvaa mavazi mengine na kurudi kwenye nyumba zao amabazo mara nyingi huwa labda chumba cha nje, au kijana hupewa sehemu yake na kujenga makazi yake huko. Na baada ya hatua hii kuingia kwenye nyumba ya mama huwa ni marufuku, hata kuingia jikoni hawaruhusiwi labada kama mama ana tatizo na umeitwa huko.
 
Mkuu hapo pa kurudi kwenye nyumba ya mama baada ya kutahiriwa nadhani si kweli, wakisha fikia kutahiriwa huwa wametengewa chumba chao kabisa na mara nyingi huchanganywa vijana zaidi ya mmoja wa boma hilo au hata na jirani hutahiriwa pamoja. Wanakaa hapo wakitunzwa kama wazazi chakula fresh na supu kwa wingi mapak wanapo pona, na baada ya kupona huendelea kukaa hapo mpaka wafanyiwe sherehe rasmi ya KUWATOA ndani, maana kipindi chote cha tohara hawaruhusiwi kutoka, au wakishapona kabisa huweza kutoka na kutembea kwenye shughuli kama hizi za tohara lakini wakiwa na yale marubega yao meusi na kupakwa masizi meusi usoni, ikisha fanyika sherehe ya kuwatoa hapo ndipo huvaa mavazi mengine na kurudi kwenye nyumba zao amabazo mara nyingi huwa labda chumba cha nje, au kijana hupewa sehemu yake na kujenga makazi yake huko. Na baada ya hatua hii kuingia kwenye nyumba ya mama huwa ni marufuku, hata kuingia jikoni hawaruhusiwi labada kama mama ana tatizo na umeitwa huko.
Sawa kabisa Mkuu,hao ni Waarusha ambao wanawaita "ILARUSA". Kwa wamasai wenyewe wale haipogo hivyo. Wanakaa kwenye nyumba za mama zao chini ya uangalizi maalum.
 
Sawa kabisa Mkuu,hao ni Waarusha ambao wanawaita "ILARUSA". Kwa wamasai wenyewe wale haipogo hivyo. Wanakaa kwenye nyumba za mama zao chini ya uangalizi maalum.
Uangalizi wa mama yake?!!
 
Wakurya ndio hodari wa mambo hayo ya tohara.. masai hakuna kitu..
Wakurya ndo angalau kidogo maana yao huwa ya haraka sana. Wanakatwa kimoja tu. Wamasai wanachongwa na kuganyiwa madoido mengi.
 
Uangalizi wa mama yake?!!
Mama yake anampikia na kumfanyia mambo mengine,ila kuhusu utunzaji wa kidonda na mambo mengine ya huko undani wanasaidiwa na Morani wakubwa.
 
Ingekua kuna kunakurudia sidhan kama kuna mtu angekubali iyo kitu ni shda mwngne anapigwa ganz anasikua sembuse iyo kavu kavu...ila mmeshuka sana kutoka Simba mpaka Panzi mngeua hata digidigi basii
 
Mabaye sinanu Larusa olalahe lai kake etii ngeraki tenilo Naberera arashu Orkesmeti ,tabaraki taa kuna ne Mujini , Mayelo sinanu ena kutuk abaraki enaomwoneki ake ngare ayolo
Me sijui kimasai lakini hapa unamuelekeza nyumbani kwenu Arusha na unamwambia kwamba kuna baridi sana na unamwambia haujui kitu fulani hahahaa mayelo kimasai taa metii kimasai tukulu.
 
Wakurya ndio hodari wa mambo hayo ya tohara.. masai hakuna kitu..
Em tuelezee ya wakurya sababu me naona ya maasai ni kiboko ila kwenye kukamata panzi kutoka simba wameshuka sana wangetakiwa waue japo hata fisi
 
Me sijui kimasai lakini hapa unamuelekeza nyumbani kwenu Arusha na unamwambia kwamba kuna baridi sana na unamwambia haujui kitu fulani hahahaa mayelo kimasai taa metii kimasai tukulu.
Aiseee wewe jamaa umenichekesha mpaka nimekaa chini, hapa unawaingiza watu chaka na desa lako ,

Kweli metii kimasai tukulu
 
Aiseee wewe jamaa umenichekesha mpaka nimekaa chini, hapa unawaingiza watu chaka na desa lako ,

Kweli metii kimasai tukulu
Hahahaaaaa lakini nimejaribu kidogo sio?
😛😛😛😛🙂
 
Back
Top Bottom