Tohara kwa Kabila la Wamasai

Tohara kwa Kabila la Wamasai

[emoji4][emoji4] kanyoo vemilo Larusa lepalai nigelu engiti selengei ninyor ? Etagolo taa baek tena kata
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] Mimi najua kikibosho tu.
Hiki hata sielewi....
Mnaweza kuniteta aiseee [emoji22]
 
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] Mimi najua kikibosho tu.
Hiki hata sielewi....
Mnaweza kuniteta aiseee [emoji22]
Hahhahaha aisee wewe sista si umeamua kuwa mtumwa ,aisee nimezaliwa mjini lakini hamna kitu nilikua napenda kama kujifunza lugha yetu ,likizo zote nilikua narudi kijijini kwa bibi ,
 
Hahhahaha aisee wewe sista si umeamua kuwa mtumwa ,aisee nimezaliwa mjini lakini hamna kitu nilikua napenda kama kujifunza lugha yetu ,likizo zote nilikua narudi kijijini kwa bibi ,
Tatizo mimi Arusha sijakaa sana,halafu nakiona kigumuuuu.
Sasa nikienda home wakiwa wanaongea...
Napata wakati mgumu sana.
Kuna kipindi nilikuwa nakariri maneno namuambia cousin anitafsirie...nikaja ona ni undezi tu.
Nikaacha.
 
Tatizo mimi Arusha sijakaa sana,halafu nakiona kigumuuuu.
Sasa nikienda home wakiwa wanaongea...
Napata wakati mgumu sana.
Kuna kipindi nilikuwa nakariri maneno namuambia cousin anitafsirie...nikaja ona ni undezi tu.
Nikaacha.
Aisee ni kweli ni kigumu sana hasa hasa kama unajifunza ukubwani ,na pia kutokukaa Arusha imechangia sana kutokujua ,ilikua rahisi kujifunza kwa sababu likizo zote za shule nilikua narudi Arusha
 
Tatizo mimi Arusha sijakaa sana,halafu nakiona kigumuuuu.
Sasa nikienda home wakiwa wanaongea...
Napata wakati mgumu sana.
Kuna kipindi nilikuwa nakariri maneno namuambia cousin anitafsirie...nikaja ona ni undezi tu.
Nikaacha.
Uwe unakuja nakufundisha fundisha kidg
 
[emoji4][emoji4] kanyoo vemilo Larusa lepalai nigelu engiti selengei ninyor ? Etagolo taa baek tena kata
Uuushooo. Itu toi sinanu aton taalarusa. Aaapa ati shule emisingi atayolo kimasai kinyi. Metaa mayelo enatumie nena kera ooormaasai.
 
yale maji wanayooga kabla ya kukatwa yanakua ya baridi sana kwa hyo yanaufanya mwili uwe kama umepigwa ganzi
Haitoshi asee, mwili unauma bana ukichomwa tu na kamwiba habari unaipata, itakua kukatwa???
 
Uuushooo. Itu toi sinanu aton taalarusa. Aaapa ati shule emisingi atayolo kimasai kinyi. Metaa mayelo enatumie nena kera ooormaasai.
Mabaye sinanu Larusa olalahe lai kake etii ngeraki tenilo Naberera arashu Orkesmeti ,tabaraki taa kuna ne Mujini , Mayelo sinanu ena kutuk abaraki enaomwoneki ake ngare ayolo
 
Nilijua Nifah ni mpare!! kumbe mixer chagga na Maasai
 
Mie Kama Mzaramo tuu hata kichagga chenyewe kinanipiga chenga!!
 
Back
Top Bottom