yale maji wanayooga kabla ya kukatwa yanakua ya baridi sana kwa hyo yanaufanya mwili uwe kama umepigwa ganziBila ganzi duuuh!!!!
Miaka yangu ndio hiyo uliyoitaja...hata sijui umejuaje.Alifanyiwa Kabisa Nifah. Kama wewe ni mkubwa kwa zaidi ya miaka 25 basi kwa namna yeyote ile atakuwa kapitia hatua hii muhimu sana.
Ukifanikiwa kuhudhuria ndipo utajua kweli hawa ni wanaume.



Hahaha! Pole sana kwa kuumia. Dingi aligugumia maumivu makali sana. Ila hata hivyo ndiyo maana kapata Mtoto Kisu Nifah...... HahahahahMiaka yangu ndio hiyo uliyoitaja...hata sijui umejuaje.
Kama atakuwa alifanyiwa jamani aliumia sana...
Ninavyompenda hadi nimeumia na mimi.
Maata enyamali olalahe lai ,akateshera akeTavala enyamali