sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,565
- 11,480
Hapa ndio utaona tofauti kubwa ya kiuongozi kutoka kambi hizi mbili CCM na CHADEMA rekodi ya hazina ya viongozi CCM haiwezi kufikiwa na chama chochote kwa miongo mingi sana.
Wote waliitwa polisi mmoja akashauti,mwingine akaenda kusikiliza japo hakufanya press conference wala kuonyesha anajua sana kuhusu janga la MO.
Wametoka, mmoja anakuja kuwakilisha kejeli alizotoa dhidi ya jeshi la Polisi wakati alionesha anajua kuhusu MO pengine ndio ilikuwa fursa ya kuwapa ushirikiano lakini kaishia kutuletea kejeli akiamini vita aliyoanzisha na Jeshi la Polisi kashinda.
Huyu mwingine ameonyesha kuiva ameonyesha busara na hekima kailetea jamii matukio chanya kuhusu mahojiano yake na Polisi hali inayoonesha hata Polisi wako tayari kupokea ushauri pengine aliowapa huko.
Hii ndio tofauti ya wao na sisi.
Wote waliitwa polisi mmoja akashauti,mwingine akaenda kusikiliza japo hakufanya press conference wala kuonyesha anajua sana kuhusu janga la MO.
Wametoka, mmoja anakuja kuwakilisha kejeli alizotoa dhidi ya jeshi la Polisi wakati alionesha anajua kuhusu MO pengine ndio ilikuwa fursa ya kuwapa ushirikiano lakini kaishia kutuletea kejeli akiamini vita aliyoanzisha na Jeshi la Polisi kashinda.
Huyu mwingine ameonyesha kuiva ameonyesha busara na hekima kailetea jamii matukio chanya kuhusu mahojiano yake na Polisi hali inayoonesha hata Polisi wako tayari kupokea ushauri pengine aliowapa huko.
Hii ndio tofauti ya wao na sisi.