Nadhani tundu ndiyo fasaha lakini tobo linaoneka la mitaani labda wali fupisha neno toboa, mfano huwezi sema toboa tobo bali utasema toboa tundu, lakini kwa uhakika zaidi wasiliana na BAKITA
Tundu (kitundu, ukiacha 'nyumba' za ndege) - hii sio lazima itokane na kutoboa, inaweza kuwapo kwa asili tu,
Tobo (kitobo) - hii inatokana na kutoboa, kutoboka nk,
Shimo (kishimo) - inaweza kuwa tobo au tundu lakini halitokei upande wa pili wa kitu (aghalabu huwa ni kwenye ardhi)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.