Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Jamani naomba ufafanuzi wa tofauti ya kimadaraka na kikazi kati ya Mayor na RC. Je kuna ulazima wa kuwa na vyeo hivyo viwili mkoa mmoja? Kwanin kisifutwe kimoja kupunguza gharama?
Jamani naomba ufafanuzi wa tofauti ya kimadaraka na kikazi kati ya Mayor na RC. Je kuna ulazima wa kuwa na vyeo hivyo viwili mkoa mmoja? Kwanin kisifutwe kimoja kupunguza gharama?