Gana
Member
- Oct 27, 2021
- 79
- 138
Tofauti ya maneno haya kwenye taaluma ya macho ni nini?
1. Optician
2. Optometrist
3. Ophthalmologist
● Je, optometrist anaweza kua ophthalmologist?
● Kwa hapa Tanzania ni vyuo vipi wanatoa izo course & kwa hapa TZ ipi ina soko zaid optician, optometrist, ophthalmologist
1. Optician
2. Optometrist
3. Ophthalmologist
● Je, optometrist anaweza kua ophthalmologist?
● Kwa hapa Tanzania ni vyuo vipi wanatoa izo course & kwa hapa TZ ipi ina soko zaid optician, optometrist, ophthalmologist