Maeneo gani mkuu toa ramaniKwa upande wa machangudoa huijui vizuri tabora. Fanya tena utafiti wako. Kwa kukuibia tuu wapo wa viwango tena bei chee na ni wengi kuliko dar
Maeneo gani mkuu toa ramaniKwa upande wa machangudoa huijui vizuri tabora. Fanya tena utafiti wako. Kwa kukuibia tuu wapo wa viwango tena bei chee na ni wengi kuliko dar
Chuo, usiulize chuo gani au katege karibu na ppolisi ya mkoa au kwenye kale kadisco kao. Au mbele kidogo ilipo nssf. Pia maeneo ya stand kuu kwenye baa za makutiMaeneo gani mkuu toa ramani
Uwezo wa kufikiri wa watu kweli umepungua. Hujui tofauti ya maisha ya jiji na halmashauri ya manispaa? Dar na Tabora kweli hadi ulete uzi humu??Habari zenu vepeee.. Naomba kujua tofauti ya maisha ya Tabora na Dsm
Tabora kifupi mji ni kama umedumaa hivi, maisha yamekaa kiuswazi uswazi sana, mzunguko wa pesa hakuna ila maisha ni nafuu kutokana na wengi kuwa masikini.
Hali ya hewa ni kiubaridi fulani hivi kama cha Dodoma yaani kikavu kinapenya mpaka ndani.
Totozi nyingi za kufa mtu si unajua wanyamwezi tena na hivi vimichezo wanavyoendekeza.
Watu wake wengi wavivu ila wastaarabu , starehe classic sio sana wakati naondoka kulikua na kumbi mbili tatu za starehe kama bubbles night club na Royal club, zaidi ya hapo ni vigodoro kwa kwenda mbele hakunaga cha weekend wala weekenda.
Kifupi ni mji uliodumaa kimaendeleo japo mkongwe, kama umekulia Manzese au Tandale utakua unanielewa.
Hahahahahahaa uko sahihi brooNilikuwepo tbra mwez wa pili ni mji mzuri tu isipokuwa nilichoona tofaut ni mzunguko wa pesa ni mdogo ila fursa zipo upande wa club zipo tatu tu ambazo ni oxygen,royal na shimoni so ni mji mdogo lakini una lami karibia njia zote pale mjini ila kuna watoto wakali sana kuwa makini
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]VEPEEEEE ndo nini akina wema Sepetu wanatuharibia Watoto vipi Facebook hawajambo?
We utakuwa Mlambo sio bureTabora kifupi mji ni kama umedumaa hivi, maisha yamekaa kiuswazi uswazi sana, mzunguko wa pesa hakuna ila maisha ni nafuu kutokana na wengi kuwa masikini.
Hali ya hewa ni kiubaridi fulani hivi kama cha Dodoma yaani kikavu kinapenya mpaka ndani.
Totozi nyingi za kufa mtu si unajua wanyamwezi tena na hivi vimichezo wanavyoendekeza.
Watu wake wengi wavivu ila wastaarabu , starehe classic sio sana wakati naondoka kulikua na kumbi mbili tatu za starehe kama bubbles night club na Royal club, zaidi ya hapo ni vigodoro kwa kwenda mbele hakunaga cha weekend wala weekenda.
Kifupi ni mji uliodumaa kimaendeleo japo mkongwe, kama umekulia Manzese au Tandale utakua unanielewa.
Kwani tandale kwa mtogole iko kigoma?unasema hivyo sababu uliishia tandale kwa mtogole,Dar huijui wewe 😀😀😀😀😀😀
Haya endelea.....