tofauti ya bb na nokia e 73

mkwawa nasikitika kukutaarifu kuwa platform inayoongoza kwa Application nyingi kwa statistics za Jan 2012 ni IOS ikiwa na Apps 550,000 ikifuatiwa na Android 450,000 Apps. Platform yako unayoitetea iliyofifia ghafla ina Application 116,583 hapo ikijumlisha (Symbian(S60 + S40) + Meego + Maemo = 116,583), BlackBerry 60,000 Apps, Windows Phone 61,478 Apps, Palm OS & Windows Mobile 8,000 applications, WebOS 7,062 applications.

'Download Count' upto Dec 2011 katika kila Platform.

1. IOS --> 25 Billion downloads
2. Android --> 13 Billion Downloads
3. Symbian + Maemo + Meego --> ~ 4 Billion downloads
4. BlackBerry --> ~ 6 Million downloads daily
5. WebOS --> 108 Million downloads
6. Windows Phone --> ~ 12 per person a month
7. Others Unknown.

kwa symbian nawezasema 99% ya applications za iphone, mtu wa symbian hawezikuwa nazo, hapo labda imejitahidi kuwa na baadhi ya maGame kwenye symbian yenye graphics ndogo kama Asphalt, Tomb Raider, Prince of Persia, etc..messengers kama nimbuzz, whatsapp, fb, msn, im+, za symbian za kishamba zinacrash mda wote..sidhani kama kuna application yeyote ya (symbian s60,v2,v3,v5, ^3) ya .sis au .sisx yenye ukubwa uliofika 100mb,,,ios inaskuma mpaka applications zenye 1.2 Gigabytes,, ushauri wangukama una interest na smartphones, huu mwaka wa 2012 sio mwaka wa kuhangaikia Symbian, ur so lostttttt,,,,:violin::violin:

Uko sahihi kote kasoro kwenye file size, ukubwa wa file haimaanishi program ni bora, maprogram makubwa ya iOS ni inefficiency kwa mtazamo wangu.
Kwa anayetaka kununua smartphone sasa hivi kwa kweli hakuna sababu ya muhimu kununua Symbian, Nokia wanaiphase out Symbian in favor of WP7 pia kama unapenda BB ni bora usubiri BB 10 ambayo ni OS mpya itakayotoka mwaka huu.

Kama unataka Smartphone right now tafuta iPhone au high end Android kama uko teyari kulipa hela nyingi (Galaxy Nexus ni zaidi ya millioni kwa bongo) au nunua Android budget devices ZTE-Blade mimi natumia safi sana, value for money. Kwa bongo nakushauri sana Android.
 
Hakuna chat program itakayofanya kazi bila data plan. Personally ningekushauri kutafuta simu ya Android, usability yake ni way above bb au symbian pia upatikanaji wa Apps ni mzuri zaidi. Pia sina uhakika kama bundle za data za kawaida zinaingia bb au mpaka ununue bb plan, mwenye bb atusaidie.

Nimefanikiwa ku-install BB NIMBUZZ naweza kuchat bila kuwa na bb plan...yaani i real enjoying kwani naonekana online every time nanikitumiwa chat message either kutoka f/book, Y/messenger au Google T zinaingia na ku-pop up kwenye screen..
Niliweka bundle ya kwaida kwenye simu ya one day
 
Nimefanikiwa ku-install BB NIMBUZZ naweza kuchat bila kuwa na bb plan...yaani i real enjoying kwani naonekana online every time nanikitumiwa chat message either kutoka f/book, Y/messenger au Google T zinaingia na ku-pop up kwenye screen..
Niliweka bundle ya kwaida kwenye simu ya one day

Mtandao gani?
 
Nimefanikiwa ku-install BB NIMBUZZ naweza kuchat bila kuwa na bb plan...yaani i real enjoying kwani naonekana online every time nanikitumiwa chat message either kutoka f/book, Y/messenger au Google T zinaingia na ku-pop up kwenye screen..
Niliweka bundle ya kwaida kwenye simu ya one day

Mkuu acha kutupeleka,ukiwa hauna package huwezi pata online notification,WHY sababu pin number inayokuweka kwe BB packages haiko attached na RIM infrastructure so unaweza browse,na watsup inakubali kama uliwahi kujiunga once na unakuwa watumia servicebooks za BB kwenye access point ya mtandao husika
Nawasilisha
 
Mkuu acha kutupeleka,ukiwa hauna package huwezi pata online notification,WHY sababu pin number inayokuweka kwe BB packages haiko attached na RIM infrastructure so unaweza browse,na watsup inakubali kama uliwahi kujiunga once na unakuwa watumia servicebooks za BB kwenye access point ya mtandao husika
Nawasilisha

Jama sijaribu kumpeleka mtu...hakika sijajiunga na plan yoyote..lmwanzoni nilikua nikitumia hata hyo bb browser ilikua haiunganishi...baadae imekuja kukubali baada ya muda nikapata msg kutoka blackberry ikiniambia sasa nimeunganishwa na internet..miujiza haikuishia hapo nikaweka bandle ya tigo ya 450 per day..ndo nikafungua nimbuzz nikadownload na kuinstall...Cha kushangza mpaka sasa nabrowse na sikatwi pesa kwenye acc yangu wakati bandle nimejiunga like 3 days ago...Labda kama nimepewa free bb plan yakuanzia kama ipo..huo ndo ukweli
 
Hakuna chat program itakayofanya kazi bila data plan. Personally ningekushauri kutafuta simu ya Android, usability yake ni way above bb au symbian pia upatikanaji wa Apps ni mzuri zaidi. Pia sina uhakika kama bundle za data za kawaida zinaingia bb au mpaka ununue bb plan, mwenye bb atusaidie.

Messenger apps zote zinafanya kazi kwa ktumia normal internet plans..kasoro tu zile ambazo zimetengenezwa na RIM kama BBM,YMessenger,Gtalk,FB na twitter..bt IM+,Nimbuzz,Facebook Messenger,whatsapp na nyingine zinatumia tu TCP/APN connection.
 
Uko sahihi kote kasoro kwenye file size, ukubwa wa file haimaanishi program ni bora, maprogram makubwa ya iOS ni inefficiency kwa mtazamo wangu.
Kwa anayetaka kununua smartphone sasa hivi kwa kweli hakuna sababu ya muhimu kununua Symbian, Nokia wanaiphase out Symbian in favor of WP7 pia kama unapenda BB ni bora usubiri BB 10 ambayo ni OS mpya itakayotoka mwaka huu.

Kama unataka Smartphone right now tafuta iPhone au high end Android kama uko teyari kulipa hela nyingi (Galaxy Nexus ni zaidi ya millioni kwa bongo) au nunua Android budget devices ZTE-Blade mimi natumia safi sana, value for money. Kwa bongo nakushauri sana Android.

uko sahihi mkuu! bado Apple na wao karibu wataitupa IOS yao.


After making plenty of
controversial comments
about Android,
Nokia CEO,
Stephen Elop, the Lumia-
maker has finally done the
unthinkable and yet the
inevitable; it has embraced
Google's platform.
With the
addition of a newly
announced Nokia Feo 800.

http://is.gd/nokand
 
Back
Top Bottom