Usalama wa taifa wanaitwa wapo *Secret service*FBI ni usalama wa Taifa la Marekani wanaoshughulikia masuala ya ndani
CIA ni usalama wa taifa wanaoshughulikia maslahi ya Marekani nje ya Marekani
Katika majibu yote wewe ndo nmekuelewaFBI ni polisi aliyespecialize kwenye upelelezi , CIA ni usalama wa taifa
FBI inaanza na herufi ya F na CIA inaanza na herufi ya C. Kwenye CIA herufi inayofuata ni I wakati FBI inafuata B. Halafu FBI inamaliza na I wakati CIA inamaliza na A.Habari chiefs,
Hope mko poa na mishemishe zinaenda. Niende kwenye topic moja Kwa moja, ningependa kufahamu nini tofauti iliyopo Kati ya hizo taasisi mbili za kiintelejensia zinazo operate ndani ya nchi moja. Utendaji, mamlaka na je zinawajibika kwenye idara au wizara tofauti?
No hayo tu karibuni wajuvi wa mambo..
FBI inaanza na herufi ya F na CIA inaanza na herufi ya C. Kwenye CIA herufi inayofuata ni I wakati FBI inafuata B. Halafu FBI inamaliza na I wakati CIA inamaliza na A.
Hiyo ndiyo tofauti MKuu.
Secret service ni kikosi cha ulinzi wa viongozi wakuu wa serikali ya Marekani.Usalama wa taifa wanaitwa wapo *Secret service*
Yes ni walinzi wa raisi, pamoja na viongozi wote wageni wanaotembelea nchi ,Secret service ni kikosi cha ulinzi wa viongozi wakuu wa serikali ya Marekani.
CIA Hawaruhusiwi kisheria kufanya kazi ndani ya USA , FBI wanafanya kazi ndani ya USA tu au katika special occasion pale wanapoitwa ku provide utaalamu
Mambo yanabadilika mzee ila shukarani Kwa kunijuza piaKila siku hizi thread zinaletwa hapa kwann msizitafute makajisomea mnajaza tu serve hapa
Shukrani Kwa elimu yako mkuuFBI ipo chini ya wizara ya sheria. CIA ipo chini ya wizara ya ulinzi
Is this practically the end of your thinking capacity????FBI inaanza na herufi ya F na CIA inaanza na herufi ya C. Kwenye CIA herufi inayofuata ni I wakati FBI inafuata B. Halafu FBI inamaliza na I wakati CIA inamaliza na A.
Hiyo ndiyo tofauti MKuu.
Ila practically CIA wanafanya kazi ndani ya Marekani pia
Kumbuka pia wako above FBI
FBI wanamandate ya Marekani nzima na kwenye balozi zote za Marekani dumiani utawakuta FBI hata Dar walikuja 98
Hawa wanahusika na mambo ya Cyber, Mambo ya compyuter, cc Edward SnodenNSA ndo usalama was taifa
Snowden alikua CIA lakini alichukua na kuvujisha data za NSAHawa wanahusika na mambo ya Cyber, Mambo ya compyuter, cc Edward Snoden
Mpaka 1997, marais wote wa zamani, na familia zao, walikuwa wanalindwa na Secret Service mpaka kifo cha rais.Secret service ni kikosi cha ulinzi wa viongozi wakuu wa serikali ya Marekani.
Duuuu nimecheki kwa sautiFBI inaanza na herufi ya F na CIA inaanza na herufi ya C. Kwenye CIA herufi inayofuata ni I wakati FBI inafuata B. Halafu FBI inamaliza na I wakati CIA inamaliza na A.
Hiyo ndiyo tofauti MKuu.