NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Wakuu wasalaamu,
Ni J5 tulivu kabisa naomba tujadili kwa nini wanamuziki wetu hasa wa bongo fleva wana hit ila hawana mafanikio mazuri ya kiuchumi ukilanganisha na majirani zetu kenya na uganda.
Wanamuziki wa kizazi kipya/Bongo Fleva walimkapeni rais Kikwete na hatimae akashinda kwa kishindo, aliposhinda aliwaalika ikulu akawauliza mnataka serikali au mimi niwafanyie nini? Kwa pamoja wakaomba studio,Tayari hio ilikuwa wrong move opportunity kubwa kama hio mnaomba studio?. Kwani hapa nchini hakuna studio? mbona mnasafiri hadi Kenya kwa Ogopa Dejays na US kurecord? na hata Studio ilivyokuja wakazungukwa na wazee wa fursa.
Pia wenyewe kwa wenyewe wanamakundi kama ccm (mafisadi na wazawa) na cdm (Family na Asilia), kuna kundi la kina JD na kundi lililoolewa na clouds kuna venaga sijui na kina nani. Kuna wabana pua na waachia pua. Na wote hawa hawana common understanding.
Wakenya nao walifanya hivyo hivyo ku campaing Mwai Kibaki na Uhuru wao walivyoulizwa mnataka nini walikuwa sawa na wenzao wa Kenya kuwa wakifanya biashara au kuagiza bidhaa yoyote kutoka nje ya nchi ziwe duty free ili kunyanyua kipato chao. Pia serikali iwagaie maeneo (estate) kwa ajili ya kujenga nyumba za kuendana na hadhi zao na hata kufanya kilimo cha kisasa.
The way forward,
Wa bongo fleva mpunguze bangi au madawa ya kulevya au muuache kabisa kwa vile yanapunguza uwezo wenu wa kufikiri na wengi baada ya hit moja mnachoka kabisa na kuwa mateja e.g TID, Daz baba etc waliokufa RIP.
Pia jitahidi kusoma maendeleo ya wenzenu jifunzeni kujitegemea na kuwa na ma-manager kweli kweli wenye ujuzi na elimu na sio walamba midomo waendesha vipindi vya radio.
Ni J5 tulivu kabisa naomba tujadili kwa nini wanamuziki wetu hasa wa bongo fleva wana hit ila hawana mafanikio mazuri ya kiuchumi ukilanganisha na majirani zetu kenya na uganda.
Wanamuziki wa kizazi kipya/Bongo Fleva walimkapeni rais Kikwete na hatimae akashinda kwa kishindo, aliposhinda aliwaalika ikulu akawauliza mnataka serikali au mimi niwafanyie nini? Kwa pamoja wakaomba studio,Tayari hio ilikuwa wrong move opportunity kubwa kama hio mnaomba studio?. Kwani hapa nchini hakuna studio? mbona mnasafiri hadi Kenya kwa Ogopa Dejays na US kurecord? na hata Studio ilivyokuja wakazungukwa na wazee wa fursa.
Pia wenyewe kwa wenyewe wanamakundi kama ccm (mafisadi na wazawa) na cdm (Family na Asilia), kuna kundi la kina JD na kundi lililoolewa na clouds kuna venaga sijui na kina nani. Kuna wabana pua na waachia pua. Na wote hawa hawana common understanding.
Wakenya nao walifanya hivyo hivyo ku campaing Mwai Kibaki na Uhuru wao walivyoulizwa mnataka nini walikuwa sawa na wenzao wa Kenya kuwa wakifanya biashara au kuagiza bidhaa yoyote kutoka nje ya nchi ziwe duty free ili kunyanyua kipato chao. Pia serikali iwagaie maeneo (estate) kwa ajili ya kujenga nyumba za kuendana na hadhi zao na hata kufanya kilimo cha kisasa.
The way forward,
Wa bongo fleva mpunguze bangi au madawa ya kulevya au muuache kabisa kwa vile yanapunguza uwezo wenu wa kufikiri na wengi baada ya hit moja mnachoka kabisa na kuwa mateja e.g TID, Daz baba etc waliokufa RIP.
Pia jitahidi kusoma maendeleo ya wenzenu jifunzeni kujitegemea na kuwa na ma-manager kweli kweli wenye ujuzi na elimu na sio walamba midomo waendesha vipindi vya radio.