Habar wana jukwaa naomba kufahamishwa utofauti uliopo kati ya TGTS NA TGS Kimaana na pia Je? mtu ukiambiwa kuwa utaanza na mshahara wa TGTS C1 ni sawa na atakaeambiwa kuwa ataanzia na TGS C1???
tgts ni scale ya walimu huku tgs ni kwa watumishi Wa serikali kuu na taasisi zake
Kwani wa wakaguzi wa shule hawana taaluma ya ualimu?wakaguzi wa shule wanalipwa tgts na wako serikali kuu
wakaguzi wa shule wanalipwa tgts na wako serikali kuu
So what?
lusungo so lusungo toka umejua kuoga imekua kazi kweli.......!
Kwahiyo?....
endelea kukoga lusungo mpka utakate
Tgts =tanzania government teachers salary
tgs = tanzania government salary
Kwani wa wakaguzi wa shule hawana taaluma ya ualimu?