TWisheshagi
Member
- May 2, 2020
- 14
- 209
Tofauti kubwa Kati ya Rais Mstaafu Kikwete na Rais Magufuli ni kwamba JK alikuwa akisema hatendi, na akitenda hasemi! JPM yeye anasema kila kitu, na anatenda kila kitu!
Ukifuatilia hotuba za Mkuu, mambo mawili unabaini: Mosi, unatamani uingilie Kati hotuba yake ili umuokoe au usahihishe anachokisema kabla hakijafika kwa umma lakini unashindwa. Unabaki unaumia ndani kwa ndani kwa kushindwa kuokoa jahazi! Pili, unabaini kuwa, siku hizi ubabe unaitwa ujasiri, na uoga na ukimya umegeuzwa kuwa busara na hekima na kusifia na kujipendekeza umegeuzwa kuwa uzalendo!
Leo nikomee hapo, mimi bado mgeni kwenye Familia hii!
Ukifuatilia hotuba za Mkuu, mambo mawili unabaini: Mosi, unatamani uingilie Kati hotuba yake ili umuokoe au usahihishe anachokisema kabla hakijafika kwa umma lakini unashindwa. Unabaki unaumia ndani kwa ndani kwa kushindwa kuokoa jahazi! Pili, unabaini kuwa, siku hizi ubabe unaitwa ujasiri, na uoga na ukimya umegeuzwa kuwa busara na hekima na kusifia na kujipendekeza umegeuzwa kuwa uzalendo!
Leo nikomee hapo, mimi bado mgeni kwenye Familia hii!