Tofauti Kati ya blog na website

Tofauti Kati ya blog na website

[emoji23][emoji23][emoji23] unaendelea kutulisha matango pori mkuu blogger ili kuondoa blogspot.com unalipia domain bhana siyo hosting
sawa lakin concept yangu ipo pale pale blog ni free hayo mambo ni mtu kupenda mwenyewe hautalipia hosting ni domain pekee
 
Website ni ukurasa wa mtandaoni. Wowote ule... Nikianzisha www.zurie.com ni website; ikulu wana ukurasa wao wa mtandaoni, ni website, jamiiforums.com ni website.

Blogs nazo ni websites; yaani ni aina mojawapo ya website.

Sifa za Blog

Blogs zinakuwa na frequent updates kutoka kwa mwenye/wenye blogs, ziko interactive as in zina sehemu ya kucomment, taarifa mara nyingi zinapangwa kwa muda yaani zile mpya ndo utazikuta juu au mwanzoni. Generally blogs zinatumiwa na watu kufikisha taarifa mbalimbali endelevu.

Nimejitahidi kueleza, penye makosa au kutoeleweka vizuri naomba kusamehewa!

Zurie umetisha, lazima utakuwa computer scientist au una taaluma inayoelekeana na hiyo kama nimekosea naomba kusamehewa [emoji3]
 
Zurie umetisha, lazima utakuwa computer scientist au una taaluma inayoelekeana na hiyo kama nimekosea naomba kusamehewa [emoji3]
Sister yuko njema amekava kila kitu
 
Habari wanajamii Forums ..
Nilikuwa nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kujua utofauti Kati ya blog na website pamoja na mifano yake kwa ujumla.
Mwisho wa kuwasilisha.
Blog inaitwa blog kutokana na neno weblog na ina maana ya kwamba blog inapaswa kuwekewa taarifa mara mara kwa wakati website huwa inakuwa na static content zisizobadilika mara kwa mara.Tovuti nyingi za habari ni blog na tovuti nyingi za makampuni huwa na blog kama sehemu ya ziada huku kukiwa na main site ambayo huwa ni static.
 
Tofauti kuu kati ya blogu na tovuti ni kwamba blog ni mahsusi kwa yaliyomo kwenye ukurasa wa mtandaoni. Kwa lugha nyingine, kila blogu ni tovuti au sehemu ya tovuti. Hata hivyo, sio kila tovuti ni blogu.

Tofauti nyingine ni muundo. Kwa kawaida, muundo wa blogu ni wa kuweka mabandiko mengi mapya kwa mfuatano (reversed chronological order) ilhali mara nyingi tovuti huwa na mabandiko machache kwa wakati mmoja (tofauti ni tovuti za habari ambazo mara nyingi ni blogu zinazoonekana kama tovuti).

Kwa kifupi, blogu ni tovuti japo sio kila tovuti ni blogu.

Jibu hili la kaka Evarist Chahali na jibu la Dada Zurie huko juu ndiyo yameelezea kwa ufasaha zaidi tofauti ya blog na website. IMHO
 
Blog inaitwa blog kutokana na neno weblog na ina maana ya kwamba blog inapaswa kuwekewa taarifa mara mara kwa wakati website huwa inakuwa na static content zisizobadilika mara kwa mara.Tovuti nyingi za habari ni blog na tovuti nyingi za makampuni huwa na blog kama sehemu ya ziada huku kukiwa na main site ambayo huwa ni static.
Nimekupata mkuu
 
KUNA MAMBO KIDOGO UMETULISHA MATANGO POLI MKUU....

1 . blog iko kwa free
website siyo free unalipia - HATA BLOGU ZINALIPIWA ITATEGENEA NA CMS/PLATFORM UNAYOTUMIA UNAYOTUMIA KAMA NI GOOGLE BLOGGER HIYO NI FREE ILA KAMA NI WORDPRESS HAPO LAZIMA ULIPIE HOSTING MKUU

2. blog iko limited
webiste unakula urefu wa kamba yako.. PIA ULIMITED WA BLOGU UNATEGEMEA NA CMS UNAYOTUMIA... MFANO KWA WANAOTUMIA GOOGLE BLOGGER(BLOGSPOTI.COM) WAKO LIMITED

HAYO MENGINE UKO SAWA


mkuu mi naomba kuuliza, fungua hii link DASIZOTZ nataka kujua kama ni google blogger au ni nini?
 
Back
Top Bottom