Tofauti Kati ya blog na website

Tofauti Kati ya blog na website

Joined
Apr 22, 2014
Posts
7
Reaction score
7
Habari wanajamii Forums ..
Nilikuwa nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kujua utofauti Kati ya blog na website pamoja na mifano yake kwa ujumla.
Mwisho wa kuwasilisha.
 
blog inategemea platform kama blogger, wordpress, n.k.
website inaweza kujibeba yenyewe...

blog iko kwa free
website siyo free unalipia

blog iko limited
webiste unakula urefu wa kamba yako..

blog nakutengenezea hata kwa 10K
webiste nakutengezea kuanzia 200K nakuendea

blog haitaji ujuzi mkubwa wacomputer..
website lazima uwe ujuzi mkubwa wa computer programming

kutengeneza blog ni dakika 30
website inakuwa muda mrefu

zinatosha hizo
 
Blog ni site inayopanga matukio ya aina moja kwa mtililiko sahihi kama ni muziki tu au n.k lakini website ni hile inayobeba maudhui yake katika mpangilio usio katika mtililiko mfano jf pia website inabeba blog kwa ndani kwa ajili ya kuwekea habari zenye mtililiko
 
Website ni ukurasa wa mtandaoni. Wowote ule... Nikianzisha www.zurie.com ni website; ikulu wana ukurasa wao wa mtandaoni, ni website, jamiiforums.com ni website.

Blogs nazo ni websites; yaani ni aina mojawapo ya website.

Sifa za Blog

Blogs zinakuwa na frequent updates kutoka kwa mwenye/wenye blogs, ziko interactive as in zina sehemu ya kucomment, taarifa mara nyingi zinapangwa kwa muda yaani zile mpya ndo utazikuta juu au mwanzoni. Generally blogs zinatumiwa na watu kufikisha taarifa mbalimbali endelevu.

Nimejitahidi kueleza, penye makosa au kutoeleweka vizuri naomba kusamehewa!
 
blog inategemea platform kama blogger, wordpress, n.k.
website inaweza kujibeba yenyewe...

blog iko kwa free
website siyo free unalipia

blog iko limited
webiste unakula urefu wa kamba yako..

blog nakutengenezea hata kwa 10K
webiste nakutengezea kuanzia 200K nakuendea

blog haitaji ujuzi mkubwa wacomputer..
website lazima uwe ujuzi mkubwa wa computer programming

kutengeneza blog ni dakika 30
website inakuwa muda mrefu

zinatosha hizo
Muongo
 
Website ni ukurasa wa mtandaoni. Wowote ule... Nikianzisha www.zurie.com ni website; ikulu wana ukurasa wao wa mtandaoni, ni website, jamiiforums.com ni website.

Blogs nazo ni websites; yaani ni aina mojawapo ya website.

Sifa za Blog

Blogs zinakuwa na frequent updates kutoka kwa mwenye/wenye blogs, ziko interactive as in zina sehemu ya kucomment, taarifa mara nyingi zinapangwa kwa muda yaani zile mpya ndo utazikuta juu au mwanzoni. Generally blogs zinatumiwa na watu kufikisha taarifa mbalimbali endelevu.

Nimejitahidi kueleza, penye makosa au kutoeleweka vizuri naomba kusamehewa!
Umeelezea vyema sana mama... Hili ndyo jibu sasa
 
  • Thanks
Reactions: sab
Ulitudanganya kidogo mkuu ... Pekua vizuri kwenye vyanzo vyako vya maarifa utagundua kuna mambo hayako sawa kwenye jibu lako...
sema ukweli basi tuone
Jibu hili hapa mkuu [emoji116][emoji116]
Website ni ukurasa wa mtandaoni. Wowote ule... Nikianzisha www.zurie.com ni website; ikulu wana ukurasa wao wa mtandaoni, ni website, jamiiforums.com ni website.

Blogs nazo ni websites; yaani ni aina mojawapo ya website.

Sifa za Blog

Blogs zinakuwa na frequent updates kutoka kwa mwenye/wenye blogs, ziko interactive as in zina sehemu ya kucomment, taarifa mara nyingi zinapangwa kwa muda yaani zile mpya ndo utazikuta juu au mwanzoni. Generally blogs zinatumiwa na watu kufikisha taarifa mbalimbali endelevu.

Nimejitahidi kueleza, penye makosa au kutoeleweka vizuri naomba kusamehewa!
 
Ulitudanganya kidogo mkuu ... Pekua vizuri kwenye vyanzo vyako vya maarifa utagundua kuna mambo hayako sawa kwenye jibu lako... Jibu hili hapa mkuu [emoji116][emoji116]
siamini kama una ujuzi wa computer..
kwa ufupi hata website unaweza kuweka sehemu ya kucomment na siyo blog pekee, website pia unaweza kupanga habari kulinga na categories na siyo blog tu....nikuuliza www.milardayo.com ni blog au website?
 
siamini kama una ujuzi wa computer..
kwa ufupi hata website unaweza kuweka sehemu ya kucomment na siyo blog pekee, website pia unaweza kupanga habari kulinga na categories na siyo blog tu....nikuuliza www.milardayo.com ni blog au website?
Sawa sawa mkuu [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] computer naijua vyema sana mkuu...

Millardayo.com ni blogu ile mkuu (aina ya website)
 
Sawa sawa mkuu [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] computer naijua vyema sana mkuu...

Millardayo.com ni blogu ile mkuu (aina ya website)
sawa lakini naamini computer hajui mkuu😊😊😊katika yale maelezo yangu hebu nipe japo moja la uongo nione
 
Habari wanajamii Forums ..
Nilikuwa nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kujua utofauti Kati ya blog na website pamoja na mifano yake kwa ujumla.
Mwisho wa kuwasilisha.

Tofauti kuu kati ya blogu na tovuti ni kwamba blog ni mahsusi kwa yaliyomo kwenye ukurasa wa mtandaoni. Kwa lugha nyingine, kila blogu ni tovuti au sehemu ya tovuti. Hata hivyo, sio kila tovuti ni blogu.

Tofauti nyingine ni muundo. Kwa kawaida, muundo wa blogu ni wa kuweka mabandiko mengi mapya kwa mfuatano (reversed chronological order) ilhali mara nyingi tovuti huwa na mabandiko machache kwa wakati mmoja (tofauti ni tovuti za habari ambazo mara nyingi ni blogu zinazoonekana kama tovuti).

Kwa kifupi, blogu ni tovuti japo sio kila tovuti ni blogu.
 
sawa lakini naamini computer hajui mkuu[emoji4][emoji4][emoji4]katika yale maelezo yangu hebu nipe japo moja la uongo nione
KUNA MAMBO KIDOGO UMETULISHA MATANGO POLI MKUU....

1 . blog iko kwa free
website siyo free unalipia - HATA BLOGU ZINALIPIWA ITATEGENEA NA CMS/PLATFORM UNAYOTUMIA UNAYOTUMIA KAMA NI GOOGLE BLOGGER HIYO NI FREE ILA KAMA NI WORDPRESS HAPO LAZIMA ULIPIE HOSTING MKUU

2. blog iko limited
webiste unakula urefu wa kamba yako.. PIA ULIMITED WA BLOGU UNATEGEMEA NA CMS UNAYOTUMIA... MFANO KWA WANAOTUMIA GOOGLE BLOGGER(BLOGSPOTI.COM) WAKO LIMITED

HAYO MENGINE UKO SAWA
 
KUNA MAMBO KIDOGO UMETULISHA MATANGO POLI MKUU....

1 . blog iko kwa free
website siyo free unalipia - HATA BLOGU ZINALIPIWA ITATEGENEA NA CMS/PLATFORM UNAYOTUMIA UNAYOTUMIA KAMA NI GOOGLE BLOGGER HIYO NI FREE ILA KAMA NI WORDPRESS HAPO LAZIMA ULIPIE HOSTING MKUU

2. blog iko limited
webiste unakula urefu wa kamba yako.. PIA ULIMITED WA BLOGU UNATEGEMEA NA CMS UNAYOTUMIA... MFANO KWA WANAOTUMIA GOOGLE BLOGGER(BLOGSPOTI.COM) WAKO LIMITED

HAYO MENGINE UKO SAWA

blogger , wordpress zote ni free swala la hosting hata blogger unaweza lipia hosting kuondoa neno .blogspot.com na .wordpress.com kulipia lazima.

swala la limited kasome Terms and Condition na issue za Privacy ya platform yoyote iwe blogger, wordpres n.k. uko limited wala sio cms
 
[emoji23][emoji23][emoji23] unaendelea kutulisha matango pori mkuu blogger ili kuondoa blogspot.com unalipia domain bhana siyo hosting
blogger , wordpress zote ni free swala la hosting hata blogger unaweza lipia hosting kuondoa neno .blogspot.com na .wordpress.com kulipia lazima.

swala la limited kasome Terms and Condition na issue za Privacy ya platform yoyote iwe blogger, wordpres n.k. uko limited wala sio cms
 
Back
Top Bottom