EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
- Thread starter
- #21
Mungu akutie nguvu na uvumilivu ea kimapendo pole sana sana Amini Mama na Baba wako mahali salama na Mungu yu pamoja nawe ..Mungu awape Rehema na wapumzike kwa Amani




Asante mkuupole sana..
Mungu ni mwemaInaumiza mno, pole sana
Pole sana, amini wakati utafika itakuwa kawaida!Pole ndugu
Ninajua uchungu unaopitia maana hata mimi December nilimzika mama yangu baada ya kumuuguza kwa miaka 7.
Asee ninajaribu kujichangamsha lakini wapiii
Bora hata baba mzazi angekuwa na ubinadamu....lakini wapiii Ana roho zaidi ya mnyama.
Kila iitwapo Leo ninammiss mama yangu mpendwa aliyejua kunipenda kupita maelezoo...such a humble soul
Mungu nijalie siku ile ya ufufuo nikutane na mama yangu...
Asante sana mkuuPole, kufa kupo hakuna atayeishi milele...muda tu wa kufariki baina ya mtu na mtu ndio watofautiana
Yes, today last yearToday last year
Asante dadaPole sana Mkuu
Amina mkuuSiku njema kwako pia ndugu mleta mada.
Pole sana pole mno!
Tupo hapa duniani kama wageni na wapitaji, marejeo ni kwa Mungu na wenyeji wetu kadhalika ni kwa Mungu pia.
Mwenyezi Mungu awajalie nuru ya milele.
Pole sana mkuu Mungu wa Mbinguni akuponye majerahaPole ndugu
Ninajua uchungu unaopitia maana hata mimi December nilimzika mama yangu baada ya kumuuguza kwa miaka 7.
Asee ninajaribu kujichangamsha lakini wapiii
Bora hata baba mzazi angekuwa na ubinadamu....lakini wapiii Ana roho zaidi ya mnyama.
Kila iitwapo Leo ninammiss mama yangu mpendwa aliyejua kunipenda kupita maelezoo...such a humble soul
Mungu nijalie siku ile ya ufufuo nikutane na mama yangu...
Asante sana mkuupole sana mkuu na wengine nyote mliopoteza wazazi, japo sijui maumivu yenu ila nimeshawwhi kuishi bila mzazi mmoja kwa miaka mingi tu, hivyo naelewa ni kwa kiasi gap la mzazi likiwa wazi hakuna anaeweza kuliziba
Mungu awatie nguvu
Hakika ni mtihani,pole sana na Mungu azidi kuwapa uvumilivu na matumaini.

Asante sana mkuuPole sana jirani. Ruhusu mapito yapite ili maisha yaendelee.Asante mkuu
Asante sana sisterPole sana
Mungu azidi kukupa faraja .
amen amenPole sana mkuu Mungu wa Mbinguni akuponye majeraha