Today last year I lost my Mother

Today last year I lost my Mother

Amkeni mkajenge familia, na nkuijenga nchi, wenye changamoto za kiafya, kiuchumi MUNGU wa Mbinguni awasimamie.

Mwaka jana ndio mwaka ulionipa uchungu saaaana maishani mwangu maana nlipoteza mama na baba.

Najua kuna yatima wengi ila nazungumzia upande wangu.

Tarehe 4/2/2021 ndio siku mama yangu alipo aga dunia pale Mloganzila Hospital.

Tulimuuguza saana baba kwa miaka mingi ila yeye akatukimbia ndani ya wiki tu akatuachia baba tumuuguze sisi.

Halafu tarehe 4/9/2021 baba akakufuata akitokea pale Bochi hospital Kwa Msuguri.

Why tarehe4?????

Why mwaka2021???

Mungu nakuachia wewe

Lala mama yangu mpenzi ila nina tumaini hili kwa kuwa nina uhakika mahali ulipo.

I'm heart broken.


1 The 4:13-18 SUV

Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.

Siku njema wadau. Mungu wa Mbinguni awabariki na kuwasimamia katika kila jema mnalolifanya
Pole sana Mkuu
Mungu akawe mfariji wako
Kupoteza wazazi ni maumivu yasiyoelezeka...
Hakika ulipitia wakati mgumu sana. Yote katika yote tuamini wapo sehemu salama
Mungu awajalie pumziko tulivu!
** Hakika Hatutaki mzijue habari za waliolala.....
 
Pole sana Mkuu
Mungu akawe mfariji wako
Kupoteza wazazi ni maumivu yasiyoelezeka...
Hakika ulipitia wakati mgumu sana. Yote katika yote tuamini wapo sehemu salama
Mungu awajalie pumziko tulivu!
** Hakika Hatutaki mzijue habari za waliolala.....
Yer 29:11 SUV

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za MWISHO
 
Amkeni mkajenge familia, na nkuijenga nchi, wenye changamoto za kiafya, kiuchumi MUNGU wa Mbinguni awasimamie.

Mwaka jana ndio mwaka ulionipa uchungu saaaana maishani mwangu maana nlipoteza mama na baba.

Najua kuna yatima wengi ila nazungumzia upande wangu.

Tarehe 4/2/2021 ndio siku mama yangu alipo aga dunia pale Mloganzila Hospital.

Tulimuuguza saana baba kwa miaka mingi ila yeye akatukimbia ndani ya wiki tu akatuachia baba tumuuguze sisi.

Halafu tarehe 4/9/2021 baba akakufuata akitokea pale Bochi hospital Kwa Msuguri.

Why tarehe4?????

Why mwaka2021???

Mungu nakuachia wewe

Lala mama yangu mpenzi ila nina tumaini hili kwa kuwa nina uhakika mahali ulipo.

I'm heart broken.


1 The 4:13-18 SUV

Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.

Siku njema wadau. Mungu wa Mbinguni awabariki na kuwasimamia katika kila jema mnalolifanya
Pole mkuu
Mungu anaponya maumivu.

Waendelee kupumzika pema
 
Back
Top Bottom