wow! Ablessed asante kwa kadi yenye ujumbe mzuri. Maamuma ulichelewa jana ila leo umewahi.nakufungashia kipande kidogo cha cake iliyobaki jana.pitia hapa MMU uichukue.
wow! Ablessed asante kwa kadi yenye ujumbe mzuri. Maamuma ulichelewa jana ila leo umewahi.nakufungashia kipande kidogo cha cake iliyobaki jana.pitia hapa MMU uichukue.
shukrani vaikojoel . mgeni10 nimekupata mkuu. Ablessed nilikubakishia kipande cha cake ila kaja farkhina kabeba na kutokomea nacho.next yr nitakufichia.
shukrani vaikojoel . mgeni10 nimekupata mkuu. Ablessed nilikubakishia kipande cha cake ila kaja farkhina kabeba na kutokomea nacho.next yr nitakufichia.
Naona unanitafutia ubaya na ndugu yangu huyu farkhina. Basi nitasubiri lkn isiwe kama subira ya kifanga ya kuambiwa na mama kuku utanyonya kesho matokeo yake hadi leo kifaranga kadanganyika.
shukrani vaikojoel . mgeni10 nimekupata mkuu. Ablessed nilikubakishia kipande cha cake ila kaja farkhina kabeba na kutokomea nacho.next yr nitakufichia.
Naona unanitafutia ubaya na ndugu yangu huyu farkhina. Basi nitasubiri lkn isiwe kama subira ya kifanga ya kuambiwa na mama kuku utanyonya kesho matokeo yake hadi leo kifaranga kadanganyika.