kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Napata picha sasa kwa nini wazungu wameng'ang'ania chura wetu wa Kihansi ni wa aina yake na hawapatikani sehemu yoyote Duniani isipokuwa Tanzania tena Kihansi tu, inasemekana chura hawa hawatagi wanazaa, wazungu hamnazo...