bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
dada wote?
toka zako.
karibu,pole kwa majukumu,
tabia yako mbaya, we mtoto,
ndo nini kususa?
dada wote?
toka zako.
Kumbe huko ni nyumbani kwako didn't know nitajaribu kugonga nione kama nitafunguliwa
kususa jana tu ndo imekuwa kes?karibu,pole kwa majukumu,
tabia yako mbaya, we mtoto,
ndo nini kususa?
kususa jana tu ndo imekuwa kes?
bas leo sisusi...inakuwaje mjombhaaaaaaaaaaaaa me miss u mbaya wewe...npe muktadha afta sunset bas.....nakuzingatia!!!
pamoko sana tu.....kunja den?bas mi ntalipa!!!!!!!!
Mchungaji... nawe ni mweledi wa mchicha?tiGo hiyo ilichakachuliwa
Ni sauti toka chumba cha kati, sikuelewa nini atoe, unapeleka mbali, sikupata jibu tuuu, sikutaki tena maana wewe ni muharibifu wa mali za wengine, nikatoka kapa tena, mamaaaaaaaaaaaaa, sauti kwa mbali ikawa inafifia utadhani MWANGWI vileeee...mara hapo hapo, oh ulikosea, sikuachi daima, eeehhh jamanii wewe,....sasa nikajiuliza je, alilazimishwa? mwanzoni hakujua ni pale pale, maana nilitaka kuita POLICE, kama wewe ungefanyaje?
habari lako mkuu,
lakini kumbuka uchakachuaji wa hiyo tiGO NOWADAYS,
Hauna makelele ya hivo, kwani dada zetu ndo wanaoridhia hayo mambo!!!!
itakuwa tiGO express yourself au ule mtandao wa zenji usemao twanga kote kote.
uchicheme twanga kote kote chema zantel
uchicheme twanga kote kote chema zantel
Alitaka kukeketwa!
jamaa aliweka infront wakat demu alitaka robo shiling kw sekunde ...c unajua dada ze2 ucpoenda huko anakuona mshamba.
tiGo hiyo ilichakachuliwa