Toa tathmini kuhusu katuni hii ya GADO kuhusu hatma ya EAC.!

Toa tathmini kuhusu katuni hii ya GADO kuhusu hatma ya EAC.!

Wapo jangwani. Hawajui hata wanapoelekea.alafu wametibuana na gari wamevunja.
KUFIKA HUKO WAENDAKO NI MAJALIWA.
 
Hakika hii katuni unaweza kuandika kitabu cha kurasa zaidi ya 500.!
 
Hapana salva kiir. Kaamua abaki na mkia. Hyo atakuwa pierre
Aliyevaa kama mfalme ni rais wetu Uhuru Muigai Wa Kenyatta. Nkurunzinza ndo anavuta mkia. Gado huwa hamchori Salva Kiir bila lile likofia lake la kihuni. Inaamanisha rais Uhuru Kenyatta na Kenya ndo walopoteza ufahamu kabisa kwenye maswala ya E.A? Gado bana.
 
Aliyevaa kama mfalme ni rais wetu Uhuru Muigai Wa Kenyatta. Nkurunzinza ndo anavuta mkia. Gado huwa hamchori Salva Kiir bila lile likofia lake la kihuni. Inaamanisha rais Uhuru Kenyatta na Kenya ndo walopoteza ufahamu kabisa kwenye maswala ya E.A? Gado bana.
Mkuu hapo nkrunziza hayupo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom