Yan km ulikuw kichwan mwangu vile....bint miss kajicontradict san........handsomeness and beatiness always fades as one ages......pia ndoa ina changamoto nyingi na ngumu kuliko hata changamoto ya kibamia.....mana unaweza kuolewa na kibamia na ukawa unafika orgasm vzr tuu
Whilst looking for the best, you loose Good and Better!I can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...
Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....
Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...
Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...
Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...
Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...
At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...
However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
Bora mumeona msaidieni mdogo wenu..! Ndoa ni UTAMU na UCHUNGU as long as nidhamu ni dhamana ya kila mmoja wenu..!hhahhah ni mbwembwe tu hizo shoga kuiga umagharibi! mie nimeshkua thou its too late!...mie nadhan men smart(in &out) ndo anamatter zaid mengn ni UTOTO TU!mxiew
Umeisha utia kibindoni au ndiyo hivyo fisi walipita nao..!Mmmmh sidhani ya hao waisrael
Me wangu upo mkuu
Madame S
Njoo pmUnless kama nimeolewa na mtu nisiemfeel yani nimeolewa ili nionekane nimeolewa but kama nimeolewa na a man whom I really fell in love with that's what I will do for him till death do us apart.
Kuna watu tunajua kupenda bwana sema hatujapata wa kuwapenda
Fisi hawakubahatika banaaaUmeisha utia kibindoni au ndiyo hivyo fisi walipita nao..!
Hongera..! Mimi naangaika kuutafuta aisei sijui ndiyo huuFisi hawakubahatika banaaa
Madame S
yaan km hujui dhana nzima ya sex hutaelewa raha ya kududuana mkuu! sipend ks huu msemo!believ me ukisikia mwanamke anaongelea hv mara bamia sijui nn huyo anajua sex kwa 32%! heheheheh!nashangaa na wanaume kutwa kujistukia!na vile ndo hawana techniques za mapenzi wanazid kuboa zaid
Hongera..! Mimi naangaika kuutafuta aisei sijui ndiyo huu
Jamani acha kunitishia mwenzio, nitakomaa na malaika aliyepewa jukumu la kuulinda hii kesi inaweza fika mbali sana, mpk kwenye kiti cha enzi cha Mungu baba aiamue mwenyewe ata Yesu nadhani anaweza ona ngumu..!itakua umepikiwa supu eti?
Madame S
Watafute dawa za kukuza zipo nyingi
Ohohohohoo.....kaongea vitu vizur kweli na ambavyo kila mwanaume anataman afanyiwe na mke wake.....lkn hajui anachokiongea sabab assume maisha yamewagonga na wanaishi tandale kweli, mmewe labda at that time ana kibarua cha ulinzi sehemu flan, mlo mmoja kwa siku, chumba wamepanga kimoja na wana watoto watatu, chumba chenyew mbavu za mbwa ukikohoa tuu jirani nyumba ya pili anasikia etc.......sasa hapo sijui kupeana kimoja kutatoka wapi.....akishampa kimoja anaelekea jikon (sijui hilo jiko litakuw wap mana chumba cheyew kimoja tuu)......
bint miss umeongea in too much fantasy....
Jamani acha kunitishia mwenzio, nitakomaa na malaika aliyepewa jukumu la kuulinda hii kesi inaweza fika mbali sana, mpk kwenye kiti cha enzi cha Mungu baba aiamue mwenyewe ata Yesu nadhani anaweza ona ngumu..!
hhahhah ni mbwembwe tu hizo shoga kuiga umagharibi! mie nimeshkua thou its too late!...mie nadhan men smart(in &out) ndo anamatter zaid mengn ni UTOTO TU!mxiew