To you my future hubby

To you my future hubby

I can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...

Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....

Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...

Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...

Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...

Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...

At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...

However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
haaahaahhaaa
u mase my day hapo mwisho.mweeeh
hlafu si uliwaambia hujui kiswahili wewe?
 
Nakupa 22.60% kwa maelezo yako ujaonesha umuhimu wakusimama katika maombi ili kumuombea huyo mtarajiwa mwanamke lazima utambue nafasi ya Mungu katika mahusiano na familia kwa ujumla.

Mwanamke usiposimama imara kumlilia Mungu kumlinda , kumtunza, kumfanikisha mumeo na kuwalinda uzao wenu ni bureee kabisa exepect vilio tu.
 
hhahaha upange tandale then umdrive !heheh ndoto za ajabu hizo!..yaan hapa umeandika kwa fake sana! y ufake mamii! lol ulivyomalizia hapo chini nndo nimejua HUKUWA SEROIUS!

alafu bs tunapapatikiaga wanaume warefu tu ....................... HAWANA LOLOTE..............labda kuosha nae


Mh!, mamie hebu fafanua kidogo hapa kwa wanaume warefu, halafu kuosha nae ndo nini?
 
Nakupa 22.60% kwa maelezo yako ujaonesha umuhimu wakusimama katika maombi ili kumuombea huyo mtarajiwa mwanamke lazima utambue nafasi ya Mungu katika mahusiano na familia kwa ujumla.

Mwanamke usiposimama imara kumlilia Mungu kumlinda , kumtunza, kumfanikisha mumeo na kuwalinda uzao wenu ni bureee kabisa exepect vilio tu.
Haters gonna hate
I can't write each and everything here
 
Mh!, mamie hebu fafanua kidogo hapa kwa wanaume warefu, halafu kuosha nae ndo nini?



ahahahhaah Nalendwa bwana! unajua wanawake weng sana tunavutika na wanaume warefu! sijui kila mtu ana sababu zake!tunahis ni wazuri sana kitandan,tunadhan tuko safe zaid! URONGO MTUPU!,,,,hyo kuosha nimetumia street lang,,,,namanisha kutoka nae unaonekana una mtu wa maana! yan sas hv mwanaume sio mrf wala mref wote sawa tu!
 
K
Unless kama nimeolewa na mtu nisiemfeel yani nimeolewa ili nionekane nimeolewa but kama nimeolewa na a man whom I really fell in love with that's what I will do for him till death do us apart.

Kuna watu tunajua kupenda bwana sema hatujapata wa kuwapenda
Kwasasa una umri gani? Nina kauzoefu kidogo, umri matters a lot....
 
Hahahahha

Madame S
Pole maana naona unacheka sana..! Vipi wewe ubavu wako ulishaupata?? Maana waisrael wanaamini ukiona mnasumbuana na mwenzio au kuachana ujue ulichukua ubavu wa mwenzio..!
 
ahahahhaah Nalendwa bwana! unajua wanawake weng sana tunavutika na wanaume warefu! sijui kila mtu ana sababu zake!tunahis ni wazuri sana kitandan,tunadhan tuko safe zaid! URONGO MTUPU!,,,,hyo kuosha nimetumia street lang,,,,namanisha kutoka nae unaonekana una mtu wa maana! yan sas hv mwanaume sio mrf wala mref wote sawa tu!

Haha, kwa kweli wengi wetu ndo tunavyopenda hivyo na vizuri tujuzane. Lakini kweli unapotembea na mwanaume mrefu na kama amekamilika kwenye Idara zote unajisikia vizuri bwana labda kwenye mambo mengine kama unavyosema.

Wenyewe wanakwambia Tall, Dark and Handsome...lol
 
hhahaha upange tandale then umdrive !heheh ndoto za ajabu hizo!..yaan hapa umeandika kwa fake sana! y ufake mamii! lol ulivyomalizia hapo chini nndo nimejua HUKUWA SEROIUS!

alafu bs tunapapatikiaga wanaume warefu tu ....................... HAWANA LOLOTE..............labda kuosha nae

Yan km ulikuw kichwan mwangu vile....bint miss kajicontradict san........handsomeness and beatiness always fades as one ages......pia ndoa ina changamoto nyingi na ngumu kuliko hata changamoto ya kibamia.....mana unaweza kuolewa na kibamia na ukawa unafika orgasm vzr tuu
 
Haha, kwa kweli wengi wetu ndo tunavyopenda hivyo na vizuri tujuzane. Lakini kweli unapotembea na mwanaume mrefu na kama amekamilika kwenye Idara zote unajisikia vizuri bwana labda kwenye mambo mengine kama unavyosema.

Wenyewe wanakwambia Tall, Dark and Handsome...lol
Ugonjwa wangu Tall dark handsome
 
Haha, kwa kweli wengi wetu ndo tunavyopenda hivyo na vizuri tujuzane. Lakini kweli unapotembea na mwanaume mrefu na kama amekamilika kwenye Idara zote unajisikia vizuri bwana labda kwenye mambo mengine kama unavyosema.

Wenyewe wanakwambia Tall, Dark and Handsome...lol


hhahhah ni mbwembwe tu hizo shoga kuiga umagharibi! mie nimeshkua thou its too late!...mie nadhan men smart(in &out) ndo anamatter zaid mengn ni UTOTO TU!mxiew
 
Pole maana naona unacheka sana..! Vipi wewe ubavu wako ulishaupata?? Maana waisrael wanaamini ukiona mnasumbuana na mwenzio au kuachana ujue ulichukua ubavu wa mwenzio..!
Mmmmh sidhani ya hao waisrael

Me wangu upo mkuu



Madame S
 
Back
Top Bottom