binti miss
Member
- Jul 29, 2017
- 91
- 169
- Thread starter
- #41
Daah kwa nini haiwezekani? I wish I get someone from jf halaf one day aje approve maneno yanguhuuu uzi umefurahisha, too much perfection ambayo in reality haiwezekani
Daah kwa nini haiwezekani? I wish I get someone from jf halaf one day aje approve maneno yanguhuuu uzi umefurahisha, too much perfection ambayo in reality haiwezekani
Kibamia huwa ni size gani, nisijekuwa natembea kifua mbele kumbe nina kibamia ingawa sijawahi ambiwa hivyoTeam kibamia hapa wanapita kimyaaa


haaahaahhaaaI can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...
Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....
Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...
Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...
Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...
Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...
At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...
However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
hhahaha upange tandale then umdrive !heheh ndoto za ajabu hizo!..yaan hapa umeandika kwa fake sana! y ufake mamii! lol ulivyomalizia hapo chini nndo nimejua HUKUWA SEROIUS!
alafu bs tunapapatikiaga wanaume warefu tu ....................... HAWANA LOLOTE..............labda kuosha nae
Si no vile najaribu kulearn my national languagehaaahaahhaaa![]()
![]()
![]()
![]()
u mase my day hapo mwisho.mweeeh![]()
hlafu si uliwaambia hujui kiswahili wewe?
Haters gonna hateNakupa 22.60% kwa maelezo yako ujaonesha umuhimu wakusimama katika maombi ili kumuombea huyo mtarajiwa mwanamke lazima utambue nafasi ya Mungu katika mahusiano na familia kwa ujumla.
Mwanamke usiposimama imara kumlilia Mungu kumlinda , kumtunza, kumfanikisha mumeo na kuwalinda uzao wenu ni bureee kabisa exepect vilio tu.
Mh!, mamie hebu fafanua kidogo hapa kwa wanaume warefu, halafu kuosha nae ndo nini?
shaurri yako..Si no vile najaribu kulearn my national language
Kwasasa una umri gani? Nina kauzoefu kidogo, umri matters a lot....Unless kama nimeolewa na mtu nisiemfeel yani nimeolewa ili nionekane nimeolewa but kama nimeolewa na a man whom I really fell in love with that's what I will do for him till death do us apart.
Kuna watu tunajua kupenda bwana sema hatujapata wa kuwapenda
HahahahhaNilishapatwa na hofu nikijua fisi alipita nao kumbe upo aise..!![]()





Mweh kwa kujisia sasa
Pole maana naona unacheka sana..! Vipi wewe ubavu wako ulishaupata?? Maana waisrael wanaamini ukiona mnasumbuana na mwenzio au kuachana ujue ulichukua ubavu wa mwenzio..!Hahahahha![]()
Madame S
ahahahhaah Nalendwa bwana! unajua wanawake weng sana tunavutika na wanaume warefu! sijui kila mtu ana sababu zake!tunahis ni wazuri sana kitandan,tunadhan tuko safe zaid! URONGO MTUPU!,,,,hyo kuosha nimetumia street lang,,,,namanisha kutoka nae unaonekana una mtu wa maana! yan sas hv mwanaume sio mrf wala mref wote sawa tu!
hhahaha upange tandale then umdrive !heheh ndoto za ajabu hizo!..yaan hapa umeandika kwa fake sana! y ufake mamii! lol ulivyomalizia hapo chini nndo nimejua HUKUWA SEROIUS!
alafu bs tunapapatikiaga wanaume warefu tu ....................... HAWANA LOLOTE..............labda kuosha nae
Ugonjwa wangu Tall dark handsomeHaha, kwa kweli wengi wetu ndo tunavyopenda hivyo na vizuri tujuzane. Lakini kweli unapotembea na mwanaume mrefu na kama amekamilika kwenye Idara zote unajisikia vizuri bwana labda kwenye mambo mengine kama unavyosema.
Wenyewe wanakwambia Tall, Dark and Handsome...lol
Haha, kwa kweli wengi wetu ndo tunavyopenda hivyo na vizuri tujuzane. Lakini kweli unapotembea na mwanaume mrefu na kama amekamilika kwenye Idara zote unajisikia vizuri bwana labda kwenye mambo mengine kama unavyosema.
Wenyewe wanakwambia Tall, Dark and Handsome...lol
Mmmmh sidhani ya hao waisraelPole maana naona unacheka sana..! Vipi wewe ubavu wako ulishaupata?? Maana waisrael wanaamini ukiona mnasumbuana na mwenzio au kuachana ujue ulichukua ubavu wa mwenzio..!
Niambie mie babyNanawish haya maneno ni mwambie mtu flani