Mrembo,
Mke ningekuwa nae ningehangaika kukutafuta?
Watoto sina kwani nilikuwa namsubiria malkia ambae ni wewe nizae nae watoto ambao watakuwa na mama mwema kama wewe kwani wanahakikishiwa malezi bora
Nayo ni kuwa wao hawana uwezo mkubwa wa kufikiri kama wewe na uwezo huo nimeuona hapa kwa namna ambavyo unajibu hoja
Siwataki hao wa mtaani hata kama nazijua sura zao kwani mimi sioi sura bali naoa mwanamke ambae uwezo wake wa kufikiri upo juu kama wewe ili maisha yetu yawe mazuri!
Mrembo,
Mke ningekuwa nae ningehangaika kukutafuta?
Watoto sina kwani nilikuwa namsubiria malkia ambae ni wewe nizae nae watoto ambao watakuwa na mama mwema kama wewe kwani wanahakikishiwa malezi bora