To MMU ladies ....

Naomba nijue kwanni Mimi..
Kwasababu wewe ni ICHANA na hakuna kama wewe duniani
Je upo tayar kunipenda..
Nisingekuwa tayari nisingekutumia PM ya kukuomba unikabidhi moyo wako mrembo

Lakini zaidi sana kupenda ni sanaa yangu ambayo haijapata wa kupewa
Nadhani wewe ndie unastahili hili penzi murua na lililo la uhahika
.je utaweza kunivumilia
Kuvumilia ni jadi ya anaejua kupenda

Kwakuwa mimi najua kupenda basi na kuvumilia ni jambo linalowezekana kwangu kwa asilimia zote

Hebu nikabidhi penzi lako halafu utathibitisha hili!
 
Last edited by a moderator:
mhhh acha zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…