Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,456
- 19,482
Debate ya Lockdown au kuendelea as is, binafsi naona ni mjadala hasi…., Swali muhimu la kujiuliza ni endapo lockdown itakuja (nchi na wananchi tumejitayarisha ?), issue sio kama tunaweza ku-survive lockdown bali tunafanya nini ili ku-survive
Chakula kitatoka wapi ?, tumejitayarisha vipi kama nchi kuwahifadhi na wapi tutawaweka Watoto wa mitaani ?
Serikali inabidi kuangalia wananchi as a whole na individuals inabidi kujiangalia wao na familia zao.., ukifungiwa utakula nini na kwa muda gani ? una stock kiasi gani n.k.
Wewe kama machinga au mission town na una Kijiji kwenu, je ni vema kurudi kijijini kwenye kuni na shamba ambalo unaweza kulima na kujilisha wewe na jamii yako ? (ukizingatia vijijini sidhani kama kutakuwa na lockdown). Pia kama unauza nguo, chupi n.k. Je ni wakati labda wa kuuza products zinazoendana na wakati ?, mfano Chakula n.k., pia Je ni wakati wa kuwapa wakulima nguvu ili walime zaidi kuongeza stock ya chakula?, Vilevile Je ni vema kuanza kuhifadhi mboga kwa njia za mababu zetu hata kwa wale ambao hawa fridge ?
Survival instinct lockdown ikija vibaka na wizi unaweza kuongezeka Serikali imejitayarisha vipi kuhakikisha kuna Amani na hakuna panic, looting au hooliganism?
Hayo ni maswali machache tu ambayo individual kama una familia inabidi uwaze kwa niaba ya Jamhuri ya Serikali yako ya Nyumba yako…, sababu kumbuka binadamu tuta-survive hili, ila hakuna guarantee kama na wewe utakuwa katika hao watakao-survive pindi patakapokucha…..
Pia tunamuachia Mungu inabidi iwe kauli ya mwisho baada ya kupigana na kuhakikisha mbinu zote tumezijaribu (ama sivyo tungefunga mahospitali yote na kujenga misikitini na makanisa mahali pake)…. Unaomba Mungu ukiwa na Sanitizer Mfukoni
Peace……
Chakula kitatoka wapi ?, tumejitayarisha vipi kama nchi kuwahifadhi na wapi tutawaweka Watoto wa mitaani ?
Serikali inabidi kuangalia wananchi as a whole na individuals inabidi kujiangalia wao na familia zao.., ukifungiwa utakula nini na kwa muda gani ? una stock kiasi gani n.k.
Wewe kama machinga au mission town na una Kijiji kwenu, je ni vema kurudi kijijini kwenye kuni na shamba ambalo unaweza kulima na kujilisha wewe na jamii yako ? (ukizingatia vijijini sidhani kama kutakuwa na lockdown). Pia kama unauza nguo, chupi n.k. Je ni wakati labda wa kuuza products zinazoendana na wakati ?, mfano Chakula n.k., pia Je ni wakati wa kuwapa wakulima nguvu ili walime zaidi kuongeza stock ya chakula?, Vilevile Je ni vema kuanza kuhifadhi mboga kwa njia za mababu zetu hata kwa wale ambao hawa fridge ?
Survival instinct lockdown ikija vibaka na wizi unaweza kuongezeka Serikali imejitayarisha vipi kuhakikisha kuna Amani na hakuna panic, looting au hooliganism?
Hayo ni maswali machache tu ambayo individual kama una familia inabidi uwaze kwa niaba ya Jamhuri ya Serikali yako ya Nyumba yako…, sababu kumbuka binadamu tuta-survive hili, ila hakuna guarantee kama na wewe utakuwa katika hao watakao-survive pindi patakapokucha…..
Pia tunamuachia Mungu inabidi iwe kauli ya mwisho baada ya kupigana na kuhakikisha mbinu zote tumezijaribu (ama sivyo tungefunga mahospitali yote na kujenga misikitini na makanisa mahali pake)…. Unaomba Mungu ukiwa na Sanitizer Mfukoni
Peace……