Nigeria uko kwa akina wattakuna mahali nilisoma story ya huyu mtoto alikuwa ametengwa na jamii yake kwa sababu ya imani za kishirikina.
kwenye hii ni power beyond human thinking ndiyo itatutoa.....Huwa nakuwaga na hisia kwamba hii kabila asili yao sio hapa duniani. hawa kuna mahali wametoka mbali kabisa na dunia yetu
Binadamu wote ni sawa? Au ni slogan tu ya kujifariji?kwanini huyu na si wewe au mwingine yeyote?![]()
![]()
![]()
well said....Walichoweza hawa viumbe ni kimoja tu 'thinking ahead or thinking beyond' kitu ambacho waafrika wengi tumenyimwa
Mshana mimi najua mtanipiga madongo, potelea Nairobi: Kama kuna kosa alilifanya Mungu ni kumuumba mwafrika! Angalia anachokifanya Museveni-mawaziri sabini, mtu msomi na akili zake sembuse hawa WATTA, never seen the inside of a civilization classWalichoweza hawa viumbe ni kimoja tu 'thinking ahead or thinking beyond' kitu ambacho waafrika wengi tumenyimwa
Kwakweli hapa naungana nawe!mimi no mtetezi mkubwa wa ngozi yangu lakini kuna wakati mwafrika habebeki sijui hizi zama zitaisha lini ona hapo Zenji mambo yanavyoharibika...kuna nyakati natamani mambo yangekuwa tofautiMshana mimi najua mtanipiga madongo, potelea Nairobi: Kama kuna kosa alilifanya Mungu ni kumuumba mwafrika! Angalia anachokifanya Museveni-mawaziri sabini, mtu msomi na akili zake sembuse hawa WATTA, never seen the inside of a civilization class
Ukiacha watu may be kama Nyerere, Nkurumah na wengine wawili au watatu hivi? mention them, waliobaki Mungu alikosea kuwaumba!Kwakweli hapa naungana nawe!mimi no mtetezi mkubwa wa ngozi yangu lakini kuna wakati mwafrika habebeki sijui hizi zama zitaisha lini ona hapo Zenji mambo yanavyoharibika...kuna nyakati natamani mambo yangekuwa tofauti
Huyo dogo nilisoma habar yake kwenye dailymail wazazi walimtelekeza wakisema ni mchaw hivyo wakamwacha mtaan ili afe NA mbaya zaid jamii ya eneo hilo linaamin sana ushirikina hivyo NA wao wakamwacha ajifie....Kwa bahat nzur ndio akatokea Hugo Dada hapo juu ambaye in RAIA wa Denmark akamchukua huyo mtoto NA kumlea NA afya yake ikawa nzur balaa ....Niliona picha zake nyngi tu kwakwel huyo Dada anastahili pongez......Kilichonifurahisha zaid mm ni jinsi huyo Dada alivyovaa ukilinganisha na
Kwakweli hapa naungana nawe!mimi no mtetezi mkubwa wa ngozi yangu lakini kuna wakati mwafrika habebeki sijui hizi zama zitaisha lini ona hapo Zenji mambo yanavyoharibika...kuna nyakati natamani mambo yangekuwa tofauti