TMA watabiri mvua kubwa Jumamosi na Jumapili

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
View attachment 2882451

View attachment 2882452
Insha-Allah....tuchukue tahadhari na tusisahau kuvuna maji kipindi hiki
 
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
View attachment 2882451

View attachment 2882452
Baada ya mafuriko leo morogoro ndo wànatabiri? Hovyo kabisa.
 
Morogoro Jioni Hii Imenyesha Mvua Kubwa Mpaka KatikATI Ya Mji Maji Yameingia Kwenye Maduka
 
Hapana siwachukii nawaonea huruma..kwa sbb ni hasara sana kila mwaka unaharibikiwa vitu maji yanaleta uharibifu mkubwa..why ukae mahali pa hivyo? Utasema umejenga nyumba lakini hasara unayopata unaweza jenga chumba kimoja au viwili sehemu salama mnakohamishiwa...
Hiyo sehemu salama unapewa na nani? kama siyo mfuko wako kuamua?
 
Back
Top Bottom