Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,179
- 94,528
Duh sasa sokon tutaendaje
Nenda kabla ya siku zilizotajwa
Duh sasa sokon tutaendaje
Dar yote ni mabondeni ujumbe uwafikieAsante kwa Taarifa.
WATU WA MABONDENI CHUKUENI TAHADHARI
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kwani Soko limenusurika?Duh sasa sokon tutaendaje
Insha-Allah....tuchukue tahadhari na tusisahau kuvuna maji kipindi hikiMamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
View attachment 2882451
View attachment 2882452
Baada ya mafuriko leo morogoro ndo wànatabiri? Hovyo kabisa.Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
View attachment 2882451
View attachment 2882452
Hiyo style kwa beginer mmh
Hiyo sehemu salama unapewa na nani? kama siyo mfuko wako kuamua?Hapana siwachukii nawaonea huruma..kwa sbb ni hasara sana kila mwaka unaharibikiwa vitu maji yanaleta uharibifu mkubwa..why ukae mahali pa hivyo? Utasema umejenga nyumba lakini hasara unayopata unaweza jenga chumba kimoja au viwili sehemu salama mnakohamishiwa...
Si huwa wanapewa maeneo ya kuhamia? Sema inategemea kama eneo lilikua la makazi toka awali kama halikua la makazi ndo watajibeba...Hiyo sehemu salama unapewa na nani? kama siyo mfuko wako kuamua?