johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,044
Mtendaji mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Dr Kijazi amesema mvua za Vuli zitakuwa chini ya wastani na zitaanza kunyesha wiki ya nne ya mwezi huh
Wakulima wanashauriwa kulima mazao yanayostahimili ukame
Source ITV habari
Wakulima wanashauriwa kulima mazao yanayostahimili ukame
Source ITV habari