JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 234
HOJA HII INATOKANA NA KAULI ZA VIONGOZI WA VYAMA HUSIKA
Katika hali ya kawaida chama cha upinzani nia yake kubwa ni kuonyesha mapungufu ya chama kinachotawala kwa jamii ili waweze kuwaondoa na wao kushika dola. Kwa hapa Tanzania ni kiroja cha aina yake kwa kuona vyama vya upinzani ukiacha CDM vinaondoka kwenye nia hiyo kuu na kuwa wasemaji na maagenti wa chama tawala.
kwa misingi hiyo msajili wa vyama vya siasa nchini anatakiwa kuvitoa kwenye orodha ya vyama vya siasa na kuvijumuisha kama washirika wa chama tawala na avibatize jina la party of few unit "PFU" kwa muungano wao wa kisiri waliounda pasipo mamlaka ya umma unaovifanya viwepo.
Katika hali ya kawaida chama cha upinzani nia yake kubwa ni kuonyesha mapungufu ya chama kinachotawala kwa jamii ili waweze kuwaondoa na wao kushika dola. Kwa hapa Tanzania ni kiroja cha aina yake kwa kuona vyama vya upinzani ukiacha CDM vinaondoka kwenye nia hiyo kuu na kuwa wasemaji na maagenti wa chama tawala.
kwa misingi hiyo msajili wa vyama vya siasa nchini anatakiwa kuvitoa kwenye orodha ya vyama vya siasa na kuvijumuisha kama washirika wa chama tawala na avibatize jina la party of few unit "PFU" kwa muungano wao wa kisiri waliounda pasipo mamlaka ya umma unaovifanya viwepo.