Ni mtoto wa kiume miaka minne na nusu mwenye afya ya kawaida na uzito kg 21 anasoma chekekea. Hajawahi kupata msukosuko wowote mkubwa wa kiafya na anahudhuria klinik ya watoto kila nwezi.
Kuanzia mwaka jana amekuwa analalamika maumivu ya tumbo ya mara kwa mara ila vipimo vya hospitali havionyeshi tatizo lolote la tumbo au hata minyoo. Hivi karibuni amekuwa anapata tatizo la tumbo la kujirudia rudia likiambatana na homa kali ambavyo hutoweka na kurudi walao mara mbili kwa mwezi.
Nyakati zote hizo huwahishwa hospitali na kupewa matibabu baada ya kupimwa vipimo basic vya damu, mkojo na stool ili kubaini tatizo la Malaria, UTI, typhoid na hivyo vyote huonyesha hana uambukizo wa aina yoyote na yupo HIV negative.
Ninaomba msaada wa ushauri wa kitaalamu kwa JF Doctors, je mtoto huyu atakuwa na tatizo gani kwa kuzingatia kuwa linajirudia kwa frequency ya wastani wa kila wiki mbili sasa?
Kama huna ushauri naomba upite kimya kimya nahitaji wabobezi wanisaidie.
Natanguliza shukrani kwenu
Kuanzia mwaka jana amekuwa analalamika maumivu ya tumbo ya mara kwa mara ila vipimo vya hospitali havionyeshi tatizo lolote la tumbo au hata minyoo. Hivi karibuni amekuwa anapata tatizo la tumbo la kujirudia rudia likiambatana na homa kali ambavyo hutoweka na kurudi walao mara mbili kwa mwezi.
Nyakati zote hizo huwahishwa hospitali na kupewa matibabu baada ya kupimwa vipimo basic vya damu, mkojo na stool ili kubaini tatizo la Malaria, UTI, typhoid na hivyo vyote huonyesha hana uambukizo wa aina yoyote na yupo HIV negative.
Ninaomba msaada wa ushauri wa kitaalamu kwa JF Doctors, je mtoto huyu atakuwa na tatizo gani kwa kuzingatia kuwa linajirudia kwa frequency ya wastani wa kila wiki mbili sasa?
Kama huna ushauri naomba upite kimya kimya nahitaji wabobezi wanisaidie.
Natanguliza shukrani kwenu