Greenify ni mkombozi chiefmkuu hizi flagship zina nguvu sana, na zinakula chaji sana, wewe unataka nini? simu inayokaa na chaji? punguza nguvu ya simu automatic itakaa na chaji.
-nenda setting kaeke battery server on
-nenda setting then battery angalia apps zinazokula sana charge zitoe au disable kama hazina kazi
-eka app ya greenify ku hibernate app sumbufu
-mara kwa mara close app usizotumia kwa kubonyeza button ya chini kushoto inayoonesha app ulizofungua bila kuzifunga
zipo zinazokaa zaidi hata ya siku moja cheki hapo chini kwenye huo uziMkuu smartphone yoyote ikijitaidi sana kukutunzia chaji ni masaa 8 tu apo ilikuwa fully charged
Shukran mkuu ntarud na feedbackmkuu hizi flagship zina nguvu sana, na zinakula chaji sana, wewe unataka nini? simu inayokaa na chaji? punguza nguvu ya simu automatic itakaa na chaji.
-nenda setting kaeke battery server on
-nenda setting then battery angalia apps zinazokula sana charge zitoe au disable kama hazina kazi
-eka app ya greenify ku hibernate app sumbufu
-mara kwa mara close app usizotumia kwa kubonyeza button ya chini kushoto inayoonesha app ulizofungua bila kuzifunga
hio issue ya kuchelewa kujaa ni Tatizo la charger, ingia playstore search app inaitwa ampere, chaji simu then fungua hio app itakuonesha kiasi cha umeme kinachoingia. nisomee hizo namba au weka screenshot.
Amna hii ni made in vietnum na warranty ninayo 24 monthhyo yako ya kichina mzee,natumia j3 tokea saa12 asubuhi nakuja kuchage saa 6 usiku!
Mkuu unatumia simu gani tuanzie hapo kwanzaYeah mkuu, hapo umenena vema, kimfano hata hii jf ukiitumia kwenye dark mode huwa chaji haisumbui, watu wengi wqnatumia display vibaya, unakuta mwanga wa dsply utadhani mtu kawasha tochi! Vibration kwenye touch pad na notifications! Na kingine kikubwa kuna app nyingine ambazo kwa wakati flan huhitaji kuzitumia lakini zipo kwenye cm na zinakula chaji, nenda setting, Disable app yeyote unayoona kwa muda flan hauhitaji kuitumia betri yako itaishi vzr. Mimi huwa sizimi data na ninatumia sim kuamzia asubui mpaka ninapoenda kulala mida ya 5 au 6 usiku"
mkuu ni chaja, 690 ni ndogo sana kwa smartphone,
Nunua fast charger Elfu 25000 Samsung. UtanikumbukaMkuu nakubaliana na wewe yaani simu yangu imekuwa mbovu hatar naichaji kwanzia saa nne husiku kufika saa moja hasubuhi eti ndo chaji imefika asilimia 55
fast charge haichaji kila simu, hadi simu husika iwe na hardware inayokubali kuchaji upesiNunua fast charger Elfu 25000 Samsung. Utanikumbuka
Jaribu kutumia chaja yenye output ya kuanzia 2 na kuendelea.Mkuu asante kwa misaada unayotupatia sisi wadau wako jana uliniambia nieke screen shot ya battery usage ilionyesha 1day 9hour na dakika 35 ndio battery ilikuwa fully charged iyo ilimaanisha siku moja na masaa 9 yaliyopita ndio battery ilikuwa fully charged inamaana masaa yalioendelea haikuwa fully charged ukiangalia vizur nisawa na siku mbili simu haikuwa fully charged jana nimeiweka kwenye charge since saa nne na dk 35 usiku hadi kufika saa 12 na dk 14 asubuhi charge ilifika asilimia 46 (46%)
Na akati kipindi cha nyuma nilikuwa na charge ndani ya masaa mawili tu done.
#chief_mkwawa
Mmmmmh hii mbona mpya.Wakuu tecno wameleta betri zinazodumu kwa siku kadhaa bila kuchajiwa na hazichajiwi kwa umeme wa tanesco wala solar Bali zinaanikwa juani kwa masaa mawili tafuta hizo...
Kwa simu zote au simu za tecno tu?Wakuu tecno wameleta betri zinazodumu kwa siku kadhaa bila kuchajiwa na hazichajiwi kwa umeme wa tanesco wala solar Bali zinaanikwa juani kwa masaa mawili tafuta hizo...
Simu zote mkuuKwa simu zote au simu za tecno tu?
Yah ni mpya......Mmmmmh hii mbona mpya.
Embu ipige picha tuione sio unaongea porojo apaWakuu tecno wameleta betri zinazodumu kwa siku kadhaa bila kuchajiwa na hazichajiwi kwa umeme wa tanesco wala solar Bali zinaanikwa juani kwa masaa mawili tafuta hizo...
Kumbe mzee wa kubet na wewe
Ndio mkuu nabetKumbe mzee wa kubet na wewe