Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,077
- 1,439
hapana mkuu hao matajili ndio walimshinikiza aongeze spidi ya meli ili wawai sikukuu ya chrismass mkuu captain akawaambia ni hatari jamaa wakamtisha kuwa kibarua chake kitaota nyasi alafu injinia wa meli alijigamba kuwa ile meli hata mungu hawezi kuizamisha ila cha moto alikiona naye alishitakiwa
Walipitisha sheria kali marufuku kutengeneza meli kubwa tena kama ile kwa ajili ya abiria.
ushakuwa Mtaalam Wa maswala Ya Bahari?..basi sawa mkuu wamekuelewa
Time 23:40 02:20 [a]
Date 1415 April 1912
Location North Atlantic Ocean
Cause Collision with iceberg
Mkuu, miaka hiyo ndio Krisimasi ilikuwa tarehe hiyo?
You guys be serious! It was big by then! Get about Queen Merry IINa kwa nini mpaka leo haijatengenezwa meli nyngne kubwa kama hyo?
Suuuuuuure! Just Costa Concodia kitu tosha!Kuna meli kubwa, almost five times zaidi ya Titanic! Tafuta meli inayoitwa Oasis of the Seas ujionee
Time 23:40 – 02:20 [a]
Date 14–15 April 1912
Location North Atlantic Ocean
Cause Collision with iceberg
Mkuu, miaka hiyo ndio Krisimasi ilikuwa tarehe hiyo?
wenzetu waliendelea siku nyingi sana...
Kuna meli kubwa, almost five times zaidi ya Titanic! Tafuta meli inayoitwa Oasis of the Seas ujionee
sorry but wamemwokoa nani?
Na kwa nini mpaka leo haijatengenezwa meli nyngne kubwa kama hyo?
Walipitisha sheria kali marufuku kutengeneza meli kubwa tena kama ile kwa ajili ya abiria.
we jamaa muongo wakati tayarinkuna meli kubwa zaidi hata ya ile karibia itaanza safari zake
hapana mkuu hao matajili ndio walimshinikiza aongeze spidi ya meli ili wawai sikukuu ya chrismass mkuu captain akawaambia ni hatari jamaa wakamtisha kuwa kibarua chake kitaota nyasi alafu injinia wa meli alijigamba kuwa ile meli hata mungu hawezi kuizamisha ila cha moto alikiona naye alishitakiwa
Time 23:40 02:20 [a]
Date 1415 April 1912
Location North Atlantic Ocean
Cause Collision with iceberg
Mkuu, miaka hiyo ndio Krisimasi ilikuwa tarehe hiyo?
swali la 2 baada ya kufanya mawasiliano waliambiwa msaada ungefika baada ya masaa 4 kutokana na umbali waliokuwepo na pia uwezekani wa meli kuzama yote kabisa ilikuwa ni ndani ya masaa 3 so hapo utaona hakukuwa na means nyingne na pia inawezekana those days hakukuwa na speed boatWakuu heshima yenu...
Leo kwa bahati nimepata nafasi ya kurudia kuangalia hii filamu ya hii meli kubwa iliyozama enzi hizo. Mara ya kwanza niliangalia nikiwa mdogo kiumri! Sasa leo katika kuangalia nimekuwa na maswali machache ambapo ningeomba kusaidiwa majibu yake kwa wenye ufahamu wake. Maswali yenyewe ni
1.Je ni kweli hii meli ilizama kiuhalisia au ni story tu?
2.Je! Kipindi hicho hakukuwa na mawasiliano ya kuja kuokolewa?
3.Je ile Iceberg ilitokea vp katikati ya bahari?
4.Kama ni kweli ilizama ilikuwa miaka gani na watu wangapi walipoyeza maisha ba wangapi waliokolewa!?
5.Je hiyo meli ilikuwa inatoka wapi na kwenda wapi?!
Natambua maswali mengine naweza google but nataka majibu ya hapa ili wafaidike wengi hivyo kama hauna majibu kuwa msomaji tu usilete kejeli hapa na kama kuna mwingine mwenye maswali aongeze hapa ili tupate majibu.
Natanguliza shukranu zangu za dhati.