FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Faiza leo umenikosha kwa kweli itabidi niingie deep kupata hii habari kama una link naomba nipatie
Google "blasphemy sunk Titanic" utapata links kibao.
Faiza leo umenikosha kwa kweli itabidi niingie deep kupata hii habari kama una link naomba nipatie
Hata mimi nilataka nijue alikuwa anamaanisha nini juu yakoSijakuelewa
Punguza spidi bibi,white star shipping co hawakuwai kuiita hiyo meli unsinkable,waliotoa hilo jina ni waandishi wa habari wakati wa press conference walisema mbona life boats zimewekwa chache sana kulinganisha na idadi ya watu?ndio waka conclude kua she ia unsinkable.Sababu kubwa ya meli ya Titanic kuzama ni kufuru.
Walioitengeneza meli hiyo walikufuru kwa kusema hii meli ni "unsinkable" ikimaanisha kuwa "haizami" wala "haizamishwi".
Hawakuishia hapo, walifikia hadi kukufuru kuwa hata "Mungu hawezi kuizamisha".
Mengine yatabaki kuwa ni stori tu, Mwenyezi Mungu akawaonesha kuwa Yeye pekee ni muweza wa kila kitu.
Kumbuka kuwa hata jina Titanic ni kufuru pia, linamaanisha mfano wa "Mungu" ambae hashindwi katika hilo alilotarajiwa.
Mwenyeezi Mungu akawaonesha asiyeshindwa ni Yeye pekee, asiyezaa wala kuzaliwa.
Punguza spidi bibi,white star shipping co hawakuwai kuiita hiyo meli unsinkable,waliotoa hilo jina ni waandishi wa habari wakati wa press conference walisema mbona life boats zimewekwa chache sana kulinganisha na idadi ya watu?ndio waka conclude kua she ia unsinkable.
This is the problem with people of faith,everything happens= God caused it.hata mtu akilewa akaendesha akaua watu barabarani watasema mipango ya mungu wakati jibu hapo ni ulevi tu.
kuzama kwa titanic ni baada ya meli kugonga mwamba wa barafu. lakini chanzo halisi hakuna anae jua japo kuna conspiracy theorist wana link kuzama kwa titanic na jesuit. kwani mnamo mwaka 1910 kamati ya watu saba walikutana ktk kisiwa fulani kwa lengo la ku establish private federal bank ya usa na kulikuwa na watu wanaopinga kuanzishwa kwa private central bank in america watu hao walikuwa ni matajiri wa kubwa ambao hawakuwahi kuwapo duniani na jesuit wanalaumiwa cz they invite All the wealthy and powerful men the Jesuits wanted to get rid of were invited to take the cruise. Three of the richest and most important of these were Benjamin Guggenheim, Isador Strauss, the head of Macy’s Department Stores, and John Jacob Astor, probably the wealthiest man in the world. watu hawa walipinga private central bank au federal reserve so ikabidi wapotee ili lengo litimie na kwa kuongezea inasemekana na captain wa titanic alikuwa jesuit member.
Blah blah blah blahKuzama kwa limeli hili ni mchezo ulotengenezwa barabara, kwa lengo na makusudio yake, ukisoma katika machapisho mbali mbali, meli iliyotumika sio meli iliyokusudiwa, walitumia meli nyingine, ukiangalia hata nahodha wa titanic hakufa kwenye ajali kwa maana meli yake haikusafiri wala wafanya kazi wengi wa meli husika, palikuwa na change over usiku ule wa meli kuondoka na ilikuwa ni makusudi kabisa hata zile shehena za dhahabu hazikuwa kwenye meli ilopata ajali, nahodha alipewa ramani ya safari yenye lengo la kumpeleke kwenye miamba ya barafu ili wapotelee huko, ukiangalia kwenye manifesto original ya meli watu wengi tu wako hai, hawa ni wale ambao walitolewa kimya kimya kabla ya safari na wengine walitengenezewa mazingira ya kushindwa kusafiri. Ile meli original ilibomolewa na vyuma vyake katika tons of tons kuuzwa china kama chuma chakavu.
uko serious au unazingua.? Mbona unapost picha za movie wewesababu za titanic kuzama ni papuchi
aliyezieleza ni bibi kizee aliye nusulika katika hiyo ajali
alikuwa yeye na mpenzi wake wakigegedana manahodha wakakaria kupiga chabo kumbe kwa mbali kulikuwa na mwamba mkubwa wa barafu
wakawa wamechelewa kuuona nahodha mkuu akasema waekwepe lakini ikawa too late walipo ugonga meli ilipasuka kwa chini
waliokuwa wanagegedana ni hawa
![]()
![]()
![]()
Meli yenyewe ni hii hapa chini
![]()
![]()
![]()
Mmmh!Hapa umezidisha chumvi wa baiskeli hata awe mnene kiasi gani ananyanyuliwa anakimbizwa hospitali ikibidi!Mwaka 1912 waliozama wanaokolewa, sisi leo hii hatuna uwezo wa kuokoa hata aliyeanguka na baiskeli. Shame upon us.
Nmekidownload hcho ktabu mkuuKuna mambo ambayo ni magumu sana kwenye historia ya dunia.Mojawapo ya mambo hayo ni ajali ya iliyokua meli kubwa sana duniani iliyokua inaitwa Titanic.Meli hii ilipata ajali April 15,1912.Kuna jambo hapa nahisi haliko sawa,hebu na wewe jiulize,inakuaje tukio hili lifanane na hadithi?Kuna binadamu aliitwa Morgan Robertson,katika hadithi yake ya Futility aliyotunga mwaka 1898,inazungumzia meli ya kifahari iliyokua na jina Titan,iliyokua inafanya safari yake ya kwanza kutoka mji wenye jina la Newfoundland,England kuelekea New York,Marekani kugonga barafu kwenye bahari ya Atlantic na kuzama!Meli hiyo ya Titan haikua na majaketi ya kutosha ya kuogelea,pia ilikua na urefu wa futi 800,mwendo kasi wa Titan ulikua 25 kph.Ajali ya Titan ilitokea maili 400 kutokea ilipoanzi safari,ilipoteza maisha ya watu 2500!Hebu tuangalie Titanic,kwanza majina ni yaleyale,Titanic nayo ilipata ajali siku ya kwanza ya safari yake,nayo iligonga barafu kwenye bahari ile ile,na ilipata ajali hiyo umbali ule ule wa maili 400,ikitokea mji ule ule,ajali hii nayo ilitokea usiku wa kwanza na hakukua na majaketi ya kutosha kujiokoa,Titanic iliua watu 2200,ilikua na urefu wa futi 882.9,mwendo kasi wake ulikua 22.5!Tangu hadithi ya Futility itoke mpaka ajali ya meli ya Titanic ni miaka 14,kwanini matukio haya yafanane?Yalipangwa?