Titanic sunk by steering mistake, author says

Titanic sunk by steering mistake, author says

faiza foxy umejibu vyema haya mambo ya rohoni yanahitaji utulivu sana.
 
Tatizo watu wanaangalia yale maigizo ya penye swimming pool ndio wanadhani ukweli halisi.FaizaFoxy kaelezea uzuri kabisa na katoa link hapo ili mzidi kupata ukweli ahsante FaizaFoxy.
 
Kuzama kwa limeli hili ni mchezo ulotengenezwa barabara, kwa lengo na makusudio yake, ukisoma katika machapisho mbali mbali, meli iliyotumika sio meli iliyokusudiwa, walitumia meli nyingine, ukiangalia hata nahodha wa titanic hakufa kwenye ajali kwa maana meli yake haikusafiri wala wafanya kazi wengi wa meli husika, palikuwa na change over usiku ule wa meli kuondoka na ilikuwa ni makusudi kabisa hata zile shehena za dhahabu hazikuwa kwenye meli ilopata ajali, nahodha alipewa ramani ya safari yenye lengo la kumpeleke kwenye miamba ya barafu ili wapotelee huko, ukiangalia kwenye manifesto original ya meli watu wengi tu wako hai, hawa ni wale ambao walitolewa kimya kimya kabla ya safari na wengine walitengenezewa mazingira ya kushindwa kusafiri. Ile meli original ilibomolewa na vyuma vyake katika tons of tons kuuzwa china kama chuma chakavu.
 
kuzama kwa titanic ni baada ya meli kugonga mwamba wa barafu. lakini chanzo halisi hakuna anae jua japo kuna conspiracy theorist wana link kuzama kwa titanic na jesuit. kwani mnamo mwaka 1910 kamati ya watu saba walikutana ktk kisiwa fulani kwa lengo la ku establish private federal bank ya usa na kulikuwa na watu wanaopinga kuanzishwa kwa private central bank in america watu hao walikuwa ni matajiri wa kubwa ambao hawakuwahi kuwapo duniani na jesuit wanalaumiwa cz they invite All the wealthy and powerful men the Jesuits wanted to get rid of were invited to take the cruise. Three of the richest and most important of these were Benjamin Guggenheim, Isador Strauss, the head of Macy’s Department Stores, and John Jacob Astor, probably the wealthiest man in the world. watu hawa walipinga private central bank au federal reserve so ikabidi wapotee ili lengo litimie na kwa kuongezea inasemekana na captain wa titanic alikuwa jesuit member.
 
sababu za titanic kuzama ni papuchi
aliyezieleza ni bibi kizee aliye nusulika katika hiyo ajali

alikuwa yeye na mpenzi wake wakigegedana manahodha wakakaria kupiga chabo kumbe kwa mbali kulikuwa na mwamba mkubwa wa barafu
wakawa wamechelewa kuuona nahodha mkuu akasema waekwepe lakini ikawa too late walipo ugonga meli ilipasuka kwa chini
waliokuwa wanagegedana ni hawa
0dd3485c160eb9a8a61f33492d791720.jpg


2bb285b190853d423399a65e3e8e9234.jpg


9e10ed7e5347080b23742b516867957a.jpg


Meli yenyewe ni hii hapa chini
ce02d8164cc1ed7f71ca497e5fa298a7.jpg


b58de345f757448a530c04ed5c0f3fa4.jpg


6f29123fe73b1f7215d46134ce42a14e.jpg
 
Nimeona comments 2 tu. Wengine someni kitabu kinaitwa the secret terrorist. Filamu ni maigizo ambayo yanaweza kukusudia kupptosha ukweli, kuzielewa unahitaji kuielewa fasihi pia.
 
Sababu kubwa ya meli ya Titanic kuzama ni kufuru.

Walioitengeneza meli hiyo walikufuru kwa kusema hii meli ni "unsinkable" ikimaanisha kuwa "haizami" wala "haizamishwi".

Hawakuishia hapo, walifikia hadi kukufuru kuwa hata "Mungu hawezi kuizamisha".

Mengine yatabaki kuwa ni stori tu, Mwenyezi Mungu akawaonesha kuwa Yeye pekee ni muweza wa kila kitu.

Kumbuka kuwa hata jina Titanic ni kufuru pia, linamaanisha mfano wa "Mungu" ambae hashindwi katika hilo alilotarajiwa.

Mwenyeezi Mungu akawaonesha asiyeshindwa ni Yeye pekee, asiyezaa wala kuzaliwa.
Punguza spidi bibi,white star shipping co hawakuwai kuiita hiyo meli unsinkable,waliotoa hilo jina ni waandishi wa habari wakati wa press conference walisema mbona life boats zimewekwa chache sana kulinganisha na idadi ya watu?ndio waka conclude kua she ia unsinkable.

This is the problem with people of faith,everything happens= God caused it.hata mtu akilewa akaendesha akaua watu barabarani watasema mipango ya mungu wakati jibu hapo ni ulevi tu.

Na kwanini mungu akawaua watu 1500 waliokua hawajamkufuru?sababu unasema waliotengeneza ndio walikufuru.
 
I
Punguza spidi bibi,white star shipping co hawakuwai kuiita hiyo meli unsinkable,waliotoa hilo jina ni waandishi wa habari wakati wa press conference walisema mbona life boats zimewekwa chache sana kulinganisha na idadi ya watu?ndio waka conclude kua she ia unsinkable.

This is the problem with people of faith,everything happens= God caused it.hata mtu akilewa akaendesha akaua watu barabarani watasema mipango ya mungu wakati jibu hapo ni ulevi tu.
 
kuzama kwa titanic ni baada ya meli kugonga mwamba wa barafu. lakini chanzo halisi hakuna anae jua japo kuna conspiracy theorist wana link kuzama kwa titanic na jesuit. kwani mnamo mwaka 1910 kamati ya watu saba walikutana ktk kisiwa fulani kwa lengo la ku establish private federal bank ya usa na kulikuwa na watu wanaopinga kuanzishwa kwa private central bank in america watu hao walikuwa ni matajiri wa kubwa ambao hawakuwahi kuwapo duniani na jesuit wanalaumiwa cz they invite All the wealthy and powerful men the Jesuits wanted to get rid of were invited to take the cruise. Three of the richest and most important of these were Benjamin Guggenheim, Isador Strauss, the head of Macy’s Department Stores, and John Jacob Astor, probably the wealthiest man in the world. watu hawa walipinga private central bank au federal reserve so ikabidi wapotee ili lengo litimie na kwa kuongezea inasemekana na captain wa titanic alikuwa jesuit member.
Kuzama kwa limeli hili ni mchezo ulotengenezwa barabara, kwa lengo na makusudio yake, ukisoma katika machapisho mbali mbali, meli iliyotumika sio meli iliyokusudiwa, walitumia meli nyingine, ukiangalia hata nahodha wa titanic hakufa kwenye ajali kwa maana meli yake haikusafiri wala wafanya kazi wengi wa meli husika, palikuwa na change over usiku ule wa meli kuondoka na ilikuwa ni makusudi kabisa hata zile shehena za dhahabu hazikuwa kwenye meli ilopata ajali, nahodha alipewa ramani ya safari yenye lengo la kumpeleke kwenye miamba ya barafu ili wapotelee huko, ukiangalia kwenye manifesto original ya meli watu wengi tu wako hai, hawa ni wale ambao walitolewa kimya kimya kabla ya safari na wengine walitengenezewa mazingira ya kushindwa kusafiri. Ile meli original ilibomolewa na vyuma vyake katika tons of tons kuuzwa china kama chuma chakavu.
Blah blah blah blah


Official report inasema kua sababu zilizosababisha hiyo meli kuzama ni ribbits(mafundi magari mnanielewa hapa).
Zile plates za nje ziliunganishwa kwa ribbits za aina mbili kuna zile za steel na zile za wrought iron ambazo sio imara sana na ndio ziliwekwa kwenye section iliyogonga mwamba.

Titanic ili designiwa na compartments 16 katika hizo nne zingeweza kuongia maji na meli isizame ila on that fateful day compartments 6 zilikua exposed na kuingiza maji na ndani ya masaa mawili she was doomed.
Hii ndio official report ya why titanic sank:::
weak ribits katika section ya mbele ya meli.Simple and clear.

Ingawa kuna sababu nyingine pia

Titanic's bridge(inapoendeshewa meli) ilopokea maonyo mengi kuhusu uwezekano wa miamba lakini hawakupunguza speed(21 knots).Hii ilikua ni kawaida kwa kipindi hiko kua ukiwa kwenye ice field get out of there as soon as u can

Waangaliaji wa usiku hawakua properly equipped, hawakua na darubini wala vikinga macho( hii nawe wanasema kua sababu ya usiku kutokua na mwezi kwa hyo wakawa wanatazama sky kama ndio ship's horizon.) So sio kosa lao.

Na baadhi ya meseji zilozotumwa na operator zilikua wrongly formatted so they never reached the bridge.
Also she had modern radios which made difficult to communicate with other ships with low radio technology.

Operator wa radio ya meli iliyokua jirani tu(kama 20km) alienda kulala so distress signal za titanic fell on dead ears.(sasa hv imebadilishwa ni 24hrs radio inakua na mtu)

Commercial pressure ya kua on time ili wajenge jina,ndo maana ikawa ina cruise at 21 knots per hour(max speed was 24 knots kwa saa).
 
Nyinyi watu wa imani bana kila kitu kikitokea mnasingizia Mungu...vitu vingine hausiki ni ajali tu za kawaida
 
sababu za titanic kuzama ni papuchi
aliyezieleza ni bibi kizee aliye nusulika katika hiyo ajali

alikuwa yeye na mpenzi wake wakigegedana manahodha wakakaria kupiga chabo kumbe kwa mbali kulikuwa na mwamba mkubwa wa barafu
wakawa wamechelewa kuuona nahodha mkuu akasema waekwepe lakini ikawa too late walipo ugonga meli ilipasuka kwa chini
waliokuwa wanagegedana ni hawa
0dd3485c160eb9a8a61f33492d791720.jpg


2bb285b190853d423399a65e3e8e9234.jpg


9e10ed7e5347080b23742b516867957a.jpg


Meli yenyewe ni hii hapa chini
ce02d8164cc1ed7f71ca497e5fa298a7.jpg


b58de345f757448a530c04ed5c0f3fa4.jpg


6f29123fe73b1f7215d46134ce42a14e.jpg
uko serious au unazingua.? Mbona unapost picha za movie wewe
 
Mwaka 1912 waliozama wanaokolewa, sisi leo hii hatuna uwezo wa kuokoa hata aliyeanguka na baiskeli. Shame upon us.
Mmmh!Hapa umezidisha chumvi wa baiskeli hata awe mnene kiasi gani ananyanyuliwa anakimbizwa hospitali ikibidi!
 
Kuna mambo ambayo ni magumu sana kwenye historia ya dunia.Mojawapo ya mambo hayo ni ajali ya iliyokua meli kubwa sana duniani iliyokua inaitwa Titanic.Meli hii ilipata ajali April 15,1912.Kuna jambo hapa nahisi haliko sawa,hebu na wewe jiulize,inakuaje tukio hili lifanane na hadithi?Kuna binadamu aliitwa Morgan Robertson,katika hadithi yake ya Futility aliyotunga mwaka 1898,inazungumzia meli ya kifahari iliyokua na jina Titan,iliyokua inafanya safari yake ya kwanza kutoka mji wenye jina la Newfoundland,England kuelekea New York,Marekani kugonga barafu kwenye bahari ya Atlantic na kuzama!Meli hiyo ya Titan haikua na majaketi ya kutosha ya kuogelea,pia ilikua na urefu wa futi 800,mwendo kasi wa Titan ulikua 25 kph.Ajali ya Titan ilitokea maili 400 kutokea ilipoanzi safari,ilipoteza maisha ya watu 2500!Hebu tuangalie Titanic,kwanza majina ni yaleyale,Titanic nayo ilipata ajali siku ya kwanza ya safari yake,nayo iligonga barafu kwenye bahari ile ile,na ilipata ajali hiyo umbali ule ule wa maili 400,ikitokea mji ule ule,ajali hii nayo ilitokea usiku wa kwanza na hakukua na majaketi ya kutosha kujiokoa,Titanic iliua watu 2200,ilikua na urefu wa futi 882.9,mwendo kasi wake ulikua 22.5!Tangu hadithi ya Futility itoke mpaka ajali ya meli ya Titanic ni miaka 14,kwanini matukio haya yafanane?Yalipangwa?
Nmekidownload hcho ktabu mkuu
 
Back
Top Bottom