Swali la kwanza meli ni kweli ilizama na ilikuja kugunduliwa baada ya madalali kugundua kulikua na jiwe kubwa la dhahabu mali ya benki flani lilizama so walitaka kwenda kulichukua ili wakaliuze ndio wakaona ile picha na kuamua kutangaza kwenye tv kama kuna mtu yeyote aliye hai anayejua kuhusu ile meli ndio wakampata yule bibi
Swali la pili Mawasiliano yalikuwepo ni mfumo wa zamani wa mawasiliano unaitwa MOZE CODE nijui kama nimekosea spelling na wale jamaa walipiga simu kwa meli ya jirani lakini ile meli kwa roho mbaya ya captain ikapita ila baadae ilitafutwa na yule captein alishitakiwa pamoja na mabaharia wake na iyo kampuni.ila kuna meli moja inaitwa MV.cathipalia ilikua inapita mbali sana ilifika eneo la tukio baada ya siku tatu na kufanikiwa kuokoa watu 500 waliojiokoa na mitumbwi ila waliwakuta wananjaa na wamechoka
Swali la tatu ile bahari inatabia ya kuwa na ice berg so enzi hizo hakukua na rada zenye nguvu kuziona so walikua wanatumia watu kukaa juu ya meli na ku spot izo ice berg ila wale jamaa walijisahau wakaja ku shtuka iko kalibu na meli ilikua speed sana kumbuka walikua wanawai sikukuuu ya xmass kawaida haikutakiwa kutembea spidi kali ila kuna matajili wali infuence so capten alikubali shingo upande akaichochea na sababu ya kutembea taratibu ni kwa ajili ya kukwepa izo ice berg.
Swali la nne inasemekana watu 1500 walipoteza maisha na 500 waliokolewa
SWALI la tano meli ilikua inatoka uingereza southapton kwenda marekani na walikua wanawai sikukuu ya xmass nazani nitakua nimekizi KIU yako kidogo kuna mengi sana nimeyaacha hapo