Titanic sunk by steering mistake, author says

Titanic sunk by steering mistake, author says

Walipitisha sheria kali marufuku kutengeneza meli kubwa tena kama ile kwa ajili ya abiria.

Mkuu acha porojo CRUISE SHIPS zipo kubwa zaidi ya ile nyingi sana ukienda marekani,australia,uingereza,CHINA hata DUBAI hapo utakutana nazo za kutosha watu wanakula maisha kama kawaida ila saizi usalama ni mkubwa sana ajali ya kizembe haiwezi kutokea
 
Swali la kwanza meli ni kweli ilizama na ilikuja kugunduliwa baada ya madalali kugundua kulikua na jiwe kubwa la dhahabu mali ya benki flani lilizama so walitaka kwenda kulichukua ili wakaliuze ndio wakaona ile picha na kuamua kutangaza kwenye tv kama kuna mtu yeyote aliye hai anayejua kuhusu ile meli ndio wakampata yule bibi
Swali la pili Mawasiliano yalikuwepo ni mfumo wa zamani wa mawasiliano unaitwa MOZE CODE nijui kama nimekosea spelling na wale jamaa walipiga simu kwa meli ya jirani lakini ile meli kwa roho mbaya ya captain ikapita ila baadae ilitafutwa na yule captein alishitakiwa pamoja na mabaharia wake na iyo kampuni.ila kuna meli moja inaitwa MV.cathipalia ilikua inapita mbali sana ilifika eneo la tukio baada ya siku tatu na kufanikiwa kuokoa watu 500 waliojiokoa na mitumbwi ila waliwakuta wananjaa na wamechoka
Swali la tatu ile bahari inatabia ya kuwa na ice berg so enzi hizo hakukua na rada zenye nguvu kuziona so walikua wanatumia watu kukaa juu ya meli na ku spot izo ice berg ila wale jamaa walijisahau wakaja ku shtuka iko kalibu na meli ilikua speed sana kumbuka walikua wanawai sikukuuu ya xmass kawaida haikutakiwa kutembea spidi kali ila kuna matajili wali infuence so capten alikubali shingo upande akaichochea na sababu ya kutembea taratibu ni kwa ajili ya kukwepa izo ice berg.
Swali la nne inasemekana watu 1500 walipoteza maisha na 500 waliokolewa
SWALI la tano meli ilikua inatoka uingereza southapton kwenda marekani na walikua wanawai sikukuu ya xmass nazani nitakua nimekizi KIU yako kidogo kuna mengi sana nimeyaacha hapo

pamoja sana mkuu...! na je enzi hizo hakukuwa na rescue ya vitu kama helcoptal au boti zenye mwendo kasi!?
 
Lile barafu lilikuwa la ajabu sana maana mabaharia alivyomfahamisha nahodha kwamba meli ilishatembea km 6300 na sasa imetembea km 30 kukata barafu meli ilikuwa poa sana aina tatizo, na ilikata iceberg kubwa kuliko lile
duh .ilikuwa hatari sana mkuu...
 
Jamanii... Swali Ambalo Halijajibiwa Na Ni Muhimu Ni Kwamba Ile ICE Ilijitengeneza Vipi Kule Baharini Na Kuwa Kama Mlima?
 
pamoja sana mkuu...! na je enzi hizo hakukuwa na rescue ya vitu kama helcoptal au boti zenye mwendo kasi!?

meli ilikua deep sea hata helkopta zisingeweza alafu ni miaka ya 1912 huko mambo yalikua bado sana.Speed bot haziwezi kwenda deep sea kuna mawimbi makubwa sana na ndani ya meli kulikua na boti ilia zilikua chache so walianza kuokoa wanawake na watoto walijua wanaume wanaweza kuvumilia mikiki mikiki huku wakiwa wanasubili kuja kuokolewa ila bahati mbaya meli ya kuwaokoa ilikuja baada ya siku tatu inaitwa MV. CATHIPALIA
 
Jamanii... Swali Ambalo Halijajibiwa Na Ni Muhimu Ni Kwamba Ile ICE Ilijitengeneza Vipi Kule Baharini Na Kuwa Kama Mlima?

Bahari za wenzetu huwa zinaganda kabisa hadi unaweza kutembea kwa gari kutoka dar hadi mbeya ndio maana saizi kuna meli zinaitwa ICE BREAKER huwa zinakitu kama ki nundu hivi kinavunja barafu kuna mashine imewekwa pale mbele ya kuvunja barafu
 
Swali la kwanza meli ni kweli ilizama na ilikuja kugunduliwa baada ya madalali kugundua kulikua na jiwe kubwa la dhahabu mali ya benki flani lilizama so walitaka kwenda kulichukua ili wakaliuze ndio wakaona ile picha na kuamua kutangaza kwenye tv kama kuna mtu yeyote aliye hai anayejua kuhusu ile meli ndio wakampata yule bibi
Swali la pili Mawasiliano yalikuwepo ni mfumo wa zamani wa mawasiliano unaitwa MOZE CODE nijui kama nimekosea spelling na wale jamaa walipiga simu kwa meli ya jirani lakini ile meli kwa roho mbaya ya captain ikapita ila baadae ilitafutwa na yule captein alishitakiwa pamoja na mabaharia wake na iyo kampuni.ila kuna meli moja inaitwa MV.cathipalia ilikua inapita mbali sana ilifika eneo la tukio baada ya siku tatu na kufanikiwa kuokoa watu 500 waliojiokoa na mitumbwi ila waliwakuta wananjaa na wamechoka
Swali la tatu ile bahari inatabia ya kuwa na ice berg so enzi hizo hakukua na rada zenye nguvu kuziona so walikua wanatumia watu kukaa juu ya meli na ku spot izo ice berg ila wale jamaa walijisahau wakaja ku shtuka iko kalibu na meli ilikua speed sana kumbuka walikua wanawai sikukuuu ya xmass kawaida haikutakiwa kutembea spidi kali ila kuna matajili wali infuence so capten alikubali shingo upande akaichochea na sababu ya kutembea taratibu ni kwa ajili ya kukwepa izo ice berg.
Swali la nne inasemekana watu 1500 walipoteza maisha na 500 waliokolewa
SWALI la tano meli ilikua inatoka uingereza southapton kwenda marekani na walikua wanawai sikukuu ya xmass nazani nitakua nimekizi KIU yako kidogo kuna mengi sana nimeyaacha hapo

Huyo captain alikua ni mzoefu Wa kupita ktk hiyo bahari kwa Zaidi ya miaka 25. Unataka kusema alikua haujui vzr hiyo bahari? Au alitumwa kuwauwa matajiri wakubwa wachache waliopanda hiyo meli ambao walikua wana pinga mfumo Fulani Wa kimabenki uliokuwa unataka kuanzishwa?
 
Huyo captain alikua ni mzoefu Wa kupita ktk hiyo bahari kwa Zaidi ya miaka 25. Unataka kusema alikua haujui vzr hiyo bahari? Au alitumwa kuwauwa matajiri wakubwa wachache waliopanda hiyo meli ambao walikua wana pinga mfumo Fulani Wa kimabenki uliokuwa unataka kuanzishwa?

hapana mkuu hao matajili ndio walimshinikiza aongeze spidi ya meli ili wawai sikukuu ya chrismass mkuu captain akawaambia ni hatari jamaa wakamtisha kuwa kibarua chake kitaota nyasi alafu injinia wa meli alijigamba kuwa ile meli hata mungu hawezi kuizamisha ila cha moto alikiona naye alishitakiwa
 
meli ilikua deep sea hata helkopta zisingeweza alafu ni miaka ya 1912 huko mambo yalikua bado sana.Speed bot haziwezi kwenda deep sea kuna mawimbi makubwa sana na ndani ya meli kulikua na boti ilia zilikua chache so walianza kuokoa wanawake na watoto walijua wanaume wanaweza kuvumilia mikiki mikiki huku wakiwa wanasubili kuja kuokolewa ila bahati mbaya meli ya kuwaokoa ilikuja baada ya siku tatu inaitwa MV. CATHIPALIA


Walikua wakiawaacha wanaume makusudi kwasababu walikua wakitaka watu Fulani wafe!
 
Swali la kwanza meli ni kweli ilizama na ilikuja kugunduliwa baada ya madalali kugundua kulikua na jiwe kubwa la dhahabu mali ya benki flani lilizama so walitaka kwenda kulichukua ili wakaliuze ndio wakaona ile picha na kuamua kutangaza kwenye tv kama kuna mtu yeyote aliye hai anayejua kuhusu ile meli ndio wakampata yule bibi
Swali la pili Mawasiliano yalikuwepo ni mfumo wa zamani wa mawasiliano unaitwa MOZE CODE nijui kama nimekosea spelling na wale jamaa walipiga simu kwa meli ya jirani lakini ile meli kwa roho mbaya ya captain ikapita ila baadae ilitafutwa na yule captein alishitakiwa pamoja na mabaharia wake na iyo kampuni.ila kuna meli moja inaitwa MV.cathipalia ilikua inapita mbali sana ilifika eneo la tukio baada ya siku tatu na kufanikiwa kuokoa watu 500 waliojiokoa na mitumbwi ila waliwakuta wananjaa na wamechoka
Swali la tatu ile bahari inatabia ya kuwa na ice berg so enzi hizo hakukua na rada zenye nguvu kuziona so walikua wanatumia watu kukaa juu ya meli na ku spot izo ice berg ila wale jamaa walijisahau wakaja ku shtuka iko kalibu na meli ilikua speed sana kumbuka walikua wanawai sikukuuu ya xmass kawaida haikutakiwa kutembea spidi kali ila kuna matajili wali infuence so capten alikubali shingo upande akaichochea na sababu ya kutembea taratibu ni kwa ajili ya kukwepa izo ice berg.
Swali la nne inasemekana watu 1500 walipoteza maisha na 500 waliokolewa
SWALI la tano meli ilikua inatoka uingereza southapton kwenda marekani na walikua wanawai sikukuu ya xmass nazani nitakua nimekizi KIU yako kidogo kuna mengi sana nimeyaacha hapo

Xmass? Kumbuka hiyo Xmass haina uhusiano wowote na Christmas...

Xmas ni ibada za kishetani zinazoambatana na Ngono na madhambi mengine😕
 
hapana mkuu hao matajili ndio walimshinikiza aongeze spidi ya meli ili wawai sikukuu ya chrismass mkuu captain akawaambia ni hatari jamaa wakamtisha kuwa kibarua chake kitaota nyasi alafu injinia wa meli alijigamba kuwa ile meli hata mungu hawezi kuizamisha ila cha moto alikiona naye alishitakiwa

Sawa lkn captain alikua ni mzoefu ktk hiyo bahari kwa miaka 25 ata km ingekua speed vp bado hiyo bahari alikua anaifahamu vzr sn. Kwanini wafe?
 
Bahari za wenzetu huwa zinaganda kabisa hadi unaweza kutembea kwa gari kutoka dar hadi mbeya ndio maana saizi kuna meli zinaitwa ICE BREAKER huwa zinakitu kama ki nundu hivi kinavunja barafu kuna mashine imewekwa pale mbele ya kuvunja barafu

Iyoo Sawaa Haina Tatizo Kuelewa...
Lakin Hebu Fikiria Sasa Maji Yanaganda Yanakuwa Kama Mlima?? Kivipi Mkuu??
 
Iyoo Sawaa Haina Tatizo Kuelewa...
Lakin Hebu Fikiria Sasa Maji Yanaganda Yanakuwa Kama Mlima?? Kivipi Mkuu??

Ndio ice berg iyo mkuu kwa ulaya sio kitu kipya tembea uone mkuu
 
Iyoo Sawaa Haina Tatizo Kuelewa...
Lakin Hebu Fikiria Sasa Maji Yanaganda Yanakuwa Kama Mlima?? Kivipi Mkuu??

ingia google andika ice berg formation utapata majibu yako mkuu
 
ingia google andika ice berg formation utapata majibu yako mkuu

Nataka Nikutoee Gizanii Mkuu, Hayaa Ndio Kama Yalee Ya Binadamu Wa Kwanza Alikuwa Nyanii...
Japo Tuliyatumia Kupatia Vyetii Lakini Usiamini Sanaa
 
Ile meli walikosea walipoikwepa ile iceberg kwani wangeigonga kwa mbele madhara yasingekuwa makubwa sana kuliko kuigonga kwa pembeni
 
Ile meli walikosea walipoikwepa ile iceberg kwani wangeigonga kwa mbele madhara yasingekuwa makubwa sana kuliko kuigonga kwa pembeni

ushakuwa Mtaalam Wa maswala Ya Bahari?..basi sawa mkuu wamekuelewa
 
Back
Top Bottom