Titanic sunk by steering mistake, author says

Titanic sunk by steering mistake, author says

Walipitisha sheria kali marufuku kutengeneza meli kubwa tena kama ile kwa ajili ya abiria.

Titanic ilikuwa ina uwezo wa kubeba abiria elfu mbili na crew, lakini Bahama wametengeneza meli nyingi kubwa na uwezo wa kubeba watu 5400 na crew 2300 hii ndio meli kubwa duniani kwa sasa MV Allure of the sea
 
Wakuu heshima yenu...
Leo kwa bahati nimepata nafasi ya kurudia kuangalia hii filamu ya hii meli kubwa iliyozama enzi hizo. Mara ya kwanza niliangalia nikiwa mdogo kiumri! Sasa leo katika kuangalia nimekuwa na maswali machache ambapo ningeomba kusaidiwa majibu yake kwa wenye ufahamu wake. Maswali yenyewe ni
1.Je ni kweli hii meli ilizama kiuhalisia au ni story tu?
2.Je! Kipindi hicho hakukuwa na mawasiliano ya kuja kuokolewa?
3.Je ile Iceberg ilitokea vp katikati ya bahari?
4.Kama ni kweli ilizama ilikuwa miaka gani na watu wangapi walipoyeza maisha ba wangapi waliokolewa!?
5.Je hiyo meli ilikuwa inatoka wapi na kwenda wapi?!

Natambua maswali mengine naweza google but nataka majibu ya hapa ili wafaidike wengi hivyo kama hauna majibu kuwa msomaji tu usilete kejeli hapa na kama kuna mwingine mwenye maswali aongeze hapa ili tupate majibu.

Natanguliza shukranu zangu za dhati.

Kama unapata TV channel inaitwa Viasat history (kwenye ZUKU na ving'amuzi vingine) iangalie. Wana documentary zao zinaitwa "The weather that changed the world", wanazirudia rudia. Utapata story kamili ya Titanic, kuanzia kutengenezwa, safari yenyewe, formation ya iceberg, ajali yenyewe, na mengine mengi.
 
Jamanii... Swali Ambalo Halijajibiwa Na Ni Muhimu Ni Kwamba Ile ICE Ilijitengeneza Vipi Kule Baharini Na Kuwa Kama Mlima?

Ilikuwa ni wakati wa baridi sana na ukiona barafu imeganda juu ujue chini imeganda zaidi ya urefu wa juu
 
Sawa lkn captain alikua ni mzoefu ktk hiyo bahari kwa miaka 25 ata km ingekua speed vp bado hiyo bahari alikua anaifahamu vzr sn. Kwanini wafe?

haya unayo leta kwangu ni mapya kabisa.

huwenda ni ivivu wangu katika kujisonea

Swali. je? captain aliokolewa kati ya watu walio patikana wakiwa salama?
 
haya unayo leta kwangu ni mapya kabisa.

huwenda ni ivivu wangu katika kujisonea

Swali. je? captain aliokolewa kati ya watu walio patikana wakiwa salama?

swali zuri mkuu.. tunaomba majibu aisee
 
Walikua wakiawaacha wanaume makusudi kwasababu walikua wakitaka watu Fulani wafe!

Inawezekanna kulikuwa na conspiracy mkuu! afu je rubani alikufa u aliokolewa? na kwanini meli iliyokuwa karibu ilikataa kutoa msaada!? na hilo jiwe la dhahabu lilipatikana au halikupatikana!? just curious tu..
 
Inawezekanna kulikuwa na conspiracy mkuu! afu je rubani alikufa u aliokolewa? na kwanini meli iliyokuwa karibu ilikataa kutoa msaada!? na hilo jiwe la dhahabu lilipatikana au halikupatikana!? just curious tu..

Captain alikufa mkuu kwasababu sheria za baharini zinasema captain anatakiwa kuwa wa mwisho kutoka so atakua na kazi ya kusimamia zoezi la uokoaji.waliopona walikua ma injinia na crew wengine ndio waliokua wanaweza kusoma nyota usiku na kujua directions za wapi wanaelekea ni elimu inaitwa astronomy mabaharia wanafundishwa hiyo dhahabu hawakuipata ila wale reseachers wakaamua kutengeneza movie na ikatengeneza pesa ya kutosha na kupata awards nyingi.Yule mfanyabiashara aliyekua anataka kumuoa rose dowson badae great depression ya mwaka 1922 ilimkumba biashara zikafa akaamua kujitoa uhai kwa kujipiga bastora
 
Inawezekanna kulikuwa na conspiracy mkuu! afu je rubani alikufa u aliokolewa? na kwanini meli iliyokuwa karibu ilikataa kutoa msaada!? na hilo jiwe la dhahabu lilipatikana au halikupatikana!? just curious tu..

ile meli ilikataa kutoa msaada kwa roho mbaya tu ila badae ilitafutwa na kampuni yao ikashitakiwa kwa kutotoa msaada
 
haya unayo leta kwangu ni mapya kabisa.

huwenda ni ivivu wangu katika kujisonea

Swali. je? captain aliokolewa kati ya watu walio patikana wakiwa salama?

Ngoja kuna kitu ntaleta soon hapa tusome wote
 
Inawezekanna kulikuwa na conspiracy mkuu! afu je rubani alikufa u aliokolewa? na kwanini meli iliyokuwa karibu ilikataa kutoa msaada!? na hilo jiwe la dhahabu lilipatikana au halikupatikana!? just curious tu..

Ni kweli Mkuu kuna mengi yalikua yamejificha ktk hiyo meli
 
Captain alikufa mkuu kwasababu sheria za baharini zinasema captain anatakiwa kuwa wa mwisho kutoka so atakua na kazi ya kusimamia zoezi la uokoaji.waliopona walikua ma injinia na crew wengine ndio waliokua wanaweza kusoma nyota usiku na kujua directions za wapi wanaelekea ni elimu inaitwa astronomy mabaharia wanafundishwa hiyo dhahabu hawakuipata ila wale reseachers wakaamua kutengeneza movie na ikatengeneza pesa ya kutosha na kupata awards nyingi.Yule mfanyabiashara aliyekua anataka kumuoa rose dowson badae great depression ya mwaka 1922 ilimkumba biashara zikafa akaamua kujitoa uhai kwa kujipiga bastora

pamoja sana mkuu...
 
Do you still remember the Hollywood block-buster movie film TITANIC with actor Leonardo de Caprio? Well, it is not the real story or perhaps just a part of the story. What you’ll read below is the true story as to what really happened to the famous ship called Titanic. The information you’ll read below is not a conspiracy theory, but rather well-recorded in the books of World History.
The sinking of the Titanic has always been an event surrounded by a great deal of mystery. Elements that led up to the eventual demise of the ‘unsinkable’ vessel have been questioned and analyzed for nearly 100 years. Many believe that fate brought the maiden voyage of the Titanic to an end, others believe that reckless tactics throughout the voyage played the primary role in her sinking, and others still believe that the Titanic tragedy was brought upon by much more sinister events. One of many Titanic conspiracies floating around, many believe that the sinking of the famous vessel was well planned, well executed, and orchestrated shape the world as we know it today. This is the Federal Reserve Titanic conspiracy.
Certain conspiracy theorists believe that there was a force behind the sinking of the Titanic. A Catholic order known as the Jesuits compelled to carry out Jesus’ work. In this instance, theorists believe that the establishment of the U.S. Federal Reserve was ushered into being. Those in belief of the theory speak of a group of Illuminati, enlightened individuals with a plan for a New World Order, in which it will be necessary to establish the Federal Reserve.
Many are unclear on what exactly the Federal Reserve is. Operated outside of the constraints of the U.S. government, the Federal Reserve has these responsibilities.
1. Conducting the nation’s monetary policy by influencing monetary and credit conditions in the economy in pursuit of maximum employment, stable prices, and moderate long-term interest rates.
2. Supervising and regulating banking institutions to ensure the safety and soundness of the nation’s banking and financial system, and protect the credit rights of consumers.
3. Maintaining stability of the financial system and containing systemic risk that may arise in financial markets.
4. Providing financial services to depository institutions, the U.S. government, and foreign official institutions, including playing a major role in operating the nation’s payments system.

Theorists believe that this Jesuit establishment was created so that the order could loan money, shape the world landscape, and become one of the most powerful organizations in the world. Here’s how the Federal Reserve and the Titanic are connected. In 1910, seven men met on Jekyll island just off the coast of Georgia to plan the Federal Reserve Bank. Nelson Aldrich and Frank Vanderclip represented the Rockefeller (Illuminati) financial empire. Henry Davidson, Charles Norton and Benjamin Strong represented J.P. Morgan (Illuminati). Paul Warburg (Illuminati) represented the Rothschilds (Illuminati) Banking dynasty of Europe. The Rothschilds were the banking agents for the Jesuits and hold `the key to the wealth of the Roman Catholic Church.’
Necessary to their plans, the Federal Reserve did have some opposition; those who saw what the future would become if banking was outside of the government’s hands, the rates set by a private company such as the Fed. All the wealthy and powerful men the Jesuits wanted to get rid of were invited to take the cruise. Three of the richest and most important of these were Benjamin Guggenheim, Isador Strauss, the head of Macy’s Department Stores, and John Jacob Astor, probably the wealthiest man in the world. Their total wealth, at that time, using dollar values of their day was more than 500 million dollars. Today that amount of money would be worth nearly eleven billion dollars. These three men were coaxed and encouraged to board the floating palace. They had to be destroyed because the Jesuits knew they would use their wealth and influence to oppose a Federal Reserve Bank as well as the various wars that were being planned.
It can also be mentioned that J.P. Morgan, the individual contracted to build the Titanic was scheduled to be on the maiden voyage, but canceled.
Supporters of the idea that the Titanic shipwreck was orchestrated carefully, a Jesuit tempore co-adjutor was picked to captain the ship, a man that would do anything for the order and God’s will; Captain Edward Smith. Quite possibly the most experienced captain of the time, Smith had navigated the waters of the Atlantic for 26 years, a master of the icy waters that the Titanic would be sailing. He was a Jesuit and worked for J.P. Morgan. As National Geographic stated in their 1986 documentary entitilted ‘The Secrets of the Titanic,’ “Anyone could be a Jesuit and their identity not be known.”
When the ship departed southern England, on board was Father Francis Browne. He was the most powerful Jesuit in all of Ireland and the Jesuit Master of Edward Smith. Here is Jesuit treachery at its finest. The provincial Father Francis Browne boards the Titanic, photographs the victims, most assuredly briefs the Captain concerning his oath as a Jesuit, and the following morning bids him farewell. (Eric J. Phelps, Vatican Assassins Halcon Unified Services).
Theorists believe that the mysteries surrounding the sinking of the Titanic are simply too coincidental not to be premeditated. Smith, being a mater navigator of the Atlantic, allegedly sailed directly into iceberg territory, failing to heed the numerous warnings given by other ships to decrease speed, and tread carefully. The glancing blow to the side of the Titanic is also said to violate basic safety measurements associated with sailing. Danger is meant to be met head on to avoid exactly what happened to the Titanic.
Less well known: the Titanic’s flare guns fired white flares. Red was (and is) the emergency standard. Other colors were used for identification (white = White Star Line). When the Titanic was sinking, her crew fired her flare guns. The Californian and other ships saw the white flares, but didn’t consider them a distress call. At one point, the Californian, commanded by Captain Lord, may have been as close as six miles to the stricken vessel.

According to other websites, the box containing this gun was the box taken off the Titanic by one of the ship’s crew on that fateful April night. The box contained . . . an unused flare gun.
Clearly, the Five Shot, 33 Pinfire Derringer Revolver here does NOT fit this case. What happened to the Titanic’s flare gun contained therein? It was most probably destroyed as part of White Star Line’s cover-up of the failures leading to the disaster. Someone kept the box for decades. Did they keep the flare gun?
All three men, whom were opposed to the Federal Reserve, died during the sinking of the Titanic.
The Federal Reserve is installed as part of the Federal Reserve act in December of 1913, roughly a year and eight months after the Titanic tragedy, and World War I less than a year later. Theorists believe that the Federal Reserve and the Jesuits were responsible for funding the United States, Germany, and Russia in the war.
- See more at: Titanic Conspiracy and The Jesuits - RMS Titanic Article

Wakuu heshima yenu...
Leo kwa bahati nimepata nafasi ya kurudia kuangalia hii filamu ya hii meli kubwa iliyozama enzi hizo. Mara ya kwanza niliangalia nikiwa mdogo kiumri! Sasa leo katika kuangalia nimekuwa na maswali machache ambapo ningeomba kusaidiwa majibu yake kwa wenye ufahamu wake. Maswali yenyewe ni
1.Je ni kweli hii meli ilizama kiuhalisia au ni story tu?
2.Je! Kipindi hicho hakukuwa na mawasiliano ya kuja kuokolewa?
3.Je ile Iceberg ilitokea vp katikati ya bahari?
4.Kama ni kweli ilizama ilikuwa miaka gani na watu wangapi walipoyeza maisha ba wangapi waliokolewa!?
5.Je hiyo meli ilikuwa inatoka wapi na kwenda wapi?!

Natambua maswali mengine naweza google but nataka majibu ya hapa ili wafaidike wengi hivyo kama hauna majibu kuwa msomaji tu usilete kejeli hapa na kama kuna mwingine mwenye maswali aongeze hapa ili tupate majibu.

Natanguliza shukranu zangu za dhati.
 
Swali la kwanza meli ni kweli ilizama na ilikuja kugunduliwa baada ya madalali kugundua kulikua na jiwe kubwa la dhahabu mali ya benki flani lilizama so walitaka kwenda kulichukua ili wakaliuze ndio wakaona ile picha na kuamua kutangaza kwenye tv kama kuna mtu yeyote aliye hai anayejua kuhusu ile meli ndio wakampata yule bibi
Swali la pili Mawasiliano yalikuwepo ni mfumo wa zamani wa mawasiliano unaitwa MOZE CODE nijui kama nimekosea spelling na wale jamaa walipiga simu kwa meli ya jirani lakini ile meli kwa roho mbaya ya captain ikapita ila baadae ilitafutwa na yule captein alishitakiwa pamoja na mabaharia wake na iyo kampuni.ila kuna meli moja inaitwa MV.cathipalia ilikua inapita mbali sana ilifika eneo la tukio baada ya siku tatu na kufanikiwa kuokoa watu 500 waliojiokoa na mitumbwi ila waliwakuta wananjaa na wamechoka
Swali la tatu ile bahari inatabia ya kuwa na ice berg so enzi hizo hakukua na rada zenye nguvu kuziona so walikua wanatumia watu kukaa juu ya meli na ku spot izo ice berg ila wale jamaa walijisahau wakaja ku shtuka iko kalibu na meli ilikua speed sana kumbuka walikua wanawai sikukuuu ya xmass kawaida haikutakiwa kutembea spidi kali ila kuna matajili wali infuence so capten alikubali shingo upande akaichochea na sababu ya kutembea taratibu ni kwa ajili ya kukwepa izo ice berg.
Swali la nne inasemekana watu 1500 walipoteza maisha na 500 waliokolewa
SWALI la tano meli ilikua inatoka uingereza southapton kwenda marekani na walikua wanawai sikukuu ya xmass nazani nitakua nimekizi KIU yako kidogo kuna mengi sana nimeyaacha hapo

www.world-mysteries.com/doug_titanic1.htm
 
Back
Top Bottom