Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
orait orait........
Walipitisha sheria kali marufuku kutengeneza meli kubwa tena kama ile kwa ajili ya abiria.
nilifiri maswali haya kauliza lukelo sakafu
Tunasubiri majibu hapa...
Pamoja sana mkuu...ongezea
-Abiria 1500 walipoteza maisha.
-Yule bibi unayemuona mzeeee ambaye ndiye kama anahadithia, ni kweli alikuwepo na yeye ndo alitoa mwongozo mzima wa maisha yake (maisha aliyoigiza Leonard na Kate) ndio maisha halisi ya yule bibi tangu ndani ya meli mpaka kuokolewa.
-Mwishoni mwa movie hiyo kuna binti anaonekana anamuangalia bibi, yule binti ni mjukuu halisi wa yule bibi (bibi aliokolewa akiwa na mimba ya mama yake na huyu binti(mjukuu). ila mama wa binti huyu alifariki.
Hayo kwa uchache ninayoyafahamu.
Hehehehe:::-D:-Dnakumbuka wakati meli inazama nilikuwa london nafanya shoo
zipo kubwa zaidi mbona,kama oasisi of the seaWalipitisha sheria kali marufuku kutengeneza meli kubwa tena kama ile kwa ajili ya abiria.
Pamoja sana mkuu
Wakuu heshima yenu...
Leo kwa bahati nimepata nafasi ya kurudia kuangalia hii filamu ya hii meli kubwa iliyozama enzi hizo. Mara ya kwanza niliangalia nikiwa mdogo kiumri! Sasa leo katika kuangalia nimekuwa na maswali machache ambapo ningeomba kusaidiwa majibu yake kwa wenye ufahamu wake. Maswali yenyewe ni
1.Je ni kweli hii meli ilizama kiuhalisia au ni story tu?
2.Je! Kipindi hicho hakukuwa na mawasiliano ya kuja kuokolewa?
3.Je ile Iceberg ilitokea vp katikati ya bahari?
4.Kama ni kweli ilizama ilikuwa miaka gani na watu wangapi walipoyeza maisha ba wangapi waliokolewa!?
5.Je hiyo meli ilikuwa inatoka wapi na kwenda wapi?!
Natambua maswali mengine naweza google but nataka majibu ya hapa ili wafaidike wengi hivyo kama hauna majibu kuwa msomaji tu usilete kejeli hapa na kama kuna mwingine mwenye maswali aongeze hapa ili tupate majibu.
Natanguliza shukranu zangu za dhati.
Wakuu heshima yenu...
Leo kwa bahati nimepata nafasi ya kurudia kuangalia hii filamu ya hii meli kubwa iliyozama enzi hizo. Mara ya kwanza niliangalia nikiwa mdogo kiumri! Sasa leo katika kuangalia nimekuwa na maswali machache ambapo ningeomba kusaidiwa majibu yake kwa wenye ufahamu wake. Maswali yenyewe ni
1.Je ni kweli hii meli ilizama kiuhalisia au ni story tu?
2.Je! Kipindi hicho hakukuwa na mawasiliano ya kuja kuokolewa?
3.Je ile Iceberg ilitokea vp katikati ya bahari?
4.Kama ni kweli ilizama ilikuwa miaka gani na watu wangapi walipoyeza maisha ba wangapi waliokolewa!?
5.Je hiyo meli ilikuwa inatoka wapi na kwenda wapi?!
Natambua maswali mengine naweza google but nataka majibu ya hapa ili wafaidike wengi hivyo kama hauna majibu kuwa msomaji tu usilete kejeli hapa na kama kuna mwingine mwenye maswali aongeze hapa ili tupate majibu.
Natanguliza shukranu zangu za dhati.
ilizama april 1912 ikitokea Soton, UK kwenda NYC, USA. rekebisha!ok,ilizama mwaka 1911, nailikuwa inatoka London(uk) to USA got me buddy!
Na kwa nini mpaka leo haijatengenezwa meli nyngne kubwa kama hyo?