Hata MV Bukoba ilikuwa uzembe kama huu huu tena na kuzidi.
Ku overload meli na watu pamoja na mizigo kliko uwezo wake.
Ilisemekana ilipokuwa imeleta shida, kuna jamaa anaitwa Genji, mwenye boats zina vusha abiria kamanga ferry, aliomba boat zake zisaidie kuvuta meli hiyo ili itoke kwenye kina kirefu isogee kwenye kina kifupi cha maji isije kuzama. Lakini sijui kwa hofu gani, viongozi walikataa wakasema kuna wataalamu wanakuja toka Dar wako njiani watakuja kuishughulikia.
Wataalamu hauo walippfika, meli inazama, wakatoboa eti sijui ndiyo wapate namna ya kuwaokoa raia ama vipi!. Kutoboa huko ndiko ikawa balaa ya meli kuingiza maji na kuzama kwa kasi hadi hayo yakatupata Watanzania!
Uzembe wa MV Bukoba. Lakin haikusemwa nayo!.