mwayungi
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,814
- 3,081
Vice versa is trueNi ajabu wakati hiyo siyo kazi yao kisheria....katika sheria ya TISS No. 15 ya 1996 Part II, section 5, subsection 2 kinasema; nanukuu:
It shall not be a function of the Service-
(a) to enforce measures for security; or(b) to institute surveillance of any person or category of persons by
reason only of his or their involvement in lawful protest, or dissent
in respect of any matter affecting the Constitution, the laws or
the Government of Tanzania.
Sasa siju ni lugha au?!?!? Hiyo ndiyo kazi yao kubwa sasa!!!
