Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Mkuu, information za CIA, Mossad na wengineo, ambao unafikiri zipo nje nje, Ni zile tu ambazo mashirika hayo yanataka wewe ufahamu kwa manufaa ya mashirika hayo. Ni habari ambazo zinatolewa na kudhibitiwa na vitengo vya "disinformation and misinformation". Kwa hiyo hapo ni kwamba TISS hawajafanikiwa kwenye hivyo vitengo kama ambavyo wanashindwa hata kufanya economic and technological espionage. Hamna haja ya kuwasifia.
Basi hata TISS watoe information ambazo wanataka tuzifahamu kwa manufaa yao!!