Tishio la Kuunda Kikundi cha Uasi

Tishio la Kuunda Kikundi cha Uasi

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,278
Reaction score
13,707
Naangalia mitandaoni naona kuna mtu kavaa musk kajirekodi sijui wameanzisha kikundi cha Uasi nikajiuliza huyu anaifahamu Tanzania Vizuri??

Kikundi cha Uasi Tanzania??? Nawaambia hata siku mbili hakitachukua JWTZ ndo wakali wa hizo mambo hivi hamjiulizi Taangu tupate Uhuru kwanini vikundi hivyo havipo Tanzania?

Ila vijana ability ya kufanya reasoning imepungua sana haya ni kama ya Habil na Kabil Captain Tesha, na Cornel Agustino Polepole.

Captain Tesha alikua ni muumini wa Kanisa la Gwajima tuu. Akina Habil na Kabil kama mnavyojua

Akatokea Mlevi mmoja anaitwa Agustino Polepole mpaka sasa naona mmeshamfahamu mwaka ndo kwanza unaanza tutasikia mengi.

Kwa Tanzania Mazingira hayaruhusu ku operate vikundi vya uasi usifananishe Tanzania na Burundi na DR Congo???

Endeleeni Kuota.
 
Naangalia mitandaoni naona kuna mtu kavaa musk kajirekodi sijui wameanzisha kikundi cha Uasi nikajiuliza huyu anaifahamu Tanzania Vizuri??

Kikundi cha Uasi Tanzania??? Nawaambia hata siku mbili hakitachukua JWTZ ndo wakali wa hizo mambo hivi hamjiulizi Taangu tupate Uhuru kwanini vikundi hivyo havipo Tanzania?

Ila vijana ability ya kufanya reasoning imepungua sana haya ni kama ya Habil na Kabil Captain Tesha, na Cornel Agustino Polepole.

Captain Tesha alikua ni muumini wa Kanisa la Gwajima tuu. Akina Habil na Kabil kama mnavyojua

Akatokea Mlevi mmoja anaitwa Agustino Polepole mpaka sasa naona mmeshamfahamu mwaka ndo kwanza unaanza tutasikia mengi.

Kwa Tanzania Mazingira hayaruhusu ku operate vikundi vya uasi usifananishe Tanzania na Burundi na DR Congo???

Endeleeni Kuota.
M23 wamewatoa kamasi, saivi mafwele anawatoa mavi.
Acha kuishi kwa historia hao hawana lolote kwa sasa wanawatisha raia wasio na silaha.
 
Naangalia mitandaoni naona kuna mtu kavaa musk kajirekodi sijui wameanzisha kikundi cha Uasi nikajiuliza huyu anaifahamu Tanzania Vizuri??

Kikundi cha Uasi Tanzania??? Nawaambia hata siku mbili hakitachukua JWTZ ndo wakali wa hizo mambo hivi hamjiulizi Taangu tupate Uhuru kwanini vikundi hivyo havipo Tanzania?

Ila vijana ability ya kufanya reasoning imepungua sana haya ni kama ya Habil na Kabil Captain Tesha, na Cornel Agustino Polepole.

Captain Tesha alikua ni muumini wa Kanisa la Gwajima tuu. Akina Habil na Kabil kama mnavyojua

Akatokea Mlevi mmoja anaitwa Agustino Polepole mpaka sasa naona mmeshamfahamu mwaka ndo kwanza unaanza tutasikia mengi.

Kwa Tanzania Mazingira hayaruhusu ku operate vikundi vya uasi usifananishe Tanzania na Burundi na DR Congo???

Endeleeni Kuota.
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Hao JWTZ zamani tulikua tunaona makamanda siku hizi ni wa kupewa order na polisi, kufagia barabara, kukimbikimbia hovyo mitaani....

Walienda kongo huku wakafurushwa kama watoto.....

Zama zinatembea dunia inabadilika.
 
M23 wamewatoa kamasi, saivi mafwele anawatoa mavi.
Acha kuishi kwa historia hao hawana lolote kwa sasa wanawatisha raia wasio na silaha.
Ila kiukweli Mafwele ni kidume dhidi ya majeshi yote...nimeamini kwa dhati kabisa
 
Basi kama Uasi upo utakuwa ndani ya Chama tawala au ndani ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama!
Nje ya hapo hakuna!
 
Pole sana Mkuu.
Mafuriko ya Mvua Huanza na Manyunyu.

Maumivu ya kichwa Huanza Taratibu taratibu.
 
Back
Top Bottom