kwemanga1
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 839
- 599
Yes!! Let the world know what is happening in our mama TanzaniaMugisha, copy this to all International Law associations including the UN secretary General, UN Security Council and the like!
Yes!! Let the world know what is happening in our mama TanzaniaMugisha, copy this to all International Law associations including the UN secretary General, UN Security Council and the like!
Katiba imekaa vibaya. Ni lazima hiyo mihimili mingine imezwe tu .Mambo ya kujitakia hayo....
Kwa nini mhimili mmoja wa serikali unataka kumeza mihimili mingine?
Kiujumla bado tunasafari ndefu ....
The only way to inform the world of the gross violation of human rights currently taking place in Tanzania!Yes!! Let the world know what is happening in our mama Tanzania
Kwani mwisho wa hiyo barua ni nini? wataenda Mahakamani kumshtaki Mwakyembe?
hivi we we unajua unacho ongea mnajitoa ufahamu kutetea usicho kijua kweli vijana Wa ccmHii law society iliyotoa hilo tamko ni aibu kwa tasnia ya sheria africa masharriki yaani bila aibu wana quote magazeti na vyombo vya habari kuwa ndio source ya wao kufikia kutoa tamko lao!!! SHAME on you.
Mbowe tu aligoma kuitika wito wa Makonda kuwa hawezi kuitika kupitia wito wa kupitia vyombo vya habari.Tundu lisu na wanasheria wa Tanzania wakajifanya kusema sio sahihi kuitika wito kupitia vyombo vya habari sio official!!
Leo hii kichombo kinajiita EAST african law society kinajibu na kuchukulia kilichoandikwa magazetini kama official information na kukitolea tamko. Shame on you.What kind of lawyers are you?
Halafu ni lini wanachama wa EAST AFRICAN LAW SOCIETY WALIKAA na kumtuma huyo Richard Mugisha kutoa hilo tamko? Mtu hawezi ibuka tu nyumbani kwake na kujitolea tamko.East African Law SOCIETY MWONDOENI HUYO MTU anadhalilisha hiyo society
Ha ha ha ha niko nafuatilia picha likiendelea.Ha ha ha ndo nini sasa na ww
Inawezekana TLS haijaweza vigezo vinavyokidhi haja ktk kuwapata Viongozi wake.
mkuu, yanayohusu Uganda fuatilia mwenyewe kwa Waganda wenyewe huko huko Uganda.waliwahi kumlima barua Yoweri Museveni?
Kauli itatoka wapuuzwe hii ni nchi yangu" kwani nilipokuwa napiga kampeni nilisema nawatambua"
We are free, independent state! Hatutaki mabwana ya kithungu mwe!Mugisha, copy this to all International Law associations including the UN secretary General, UN Security Council and the like!
YatapatikanaHakuna majibu!
Poa poaNa makabila na ukanda pia....SAY NO KWA UBAGUZI WA AINA YOYOTE.
Hii barua ni baadhi ya nyaraka za ushahidi zitakazotumika kuwapeleka jela nyie mnaovunja sheria za nchi hapo badae.sasa hivi si mna kinga ya madaraka.ila ipo siku mtasimama kizimbani kujibu mashtaka.Kwani mwisho wa hiyo barua ni nini? wataenda Mahakamani kumshtaki Mwakyembe?