Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,460
- 60,774
Kwenye huu ukanda wa baridi,tulishazoea kuwa tunakunywa kahawa, supu ya motomoto pamoja na vitu vinginevyo ili kuupa mwili joto.
Hata katika mahusiano kipindi hiki ukidate na wale wembamba wembamba ni hatari sana, kwa sababu wanakuwa wanaongeza baridi na kusababisha joto la mwili kushuka.
Ila ukidate na hawa matipwatipwa kipindi hiki cha baridi, utajiona uko ulimwengu mwingine tofauti kutokana na raha utakayoipata....kwanza joto la mwili linaongezeka kwa kasi, hata ukitaka kum-hug mikono inaenda 'automatically'
Hata katika mahusiano kipindi hiki ukidate na wale wembamba wembamba ni hatari sana, kwa sababu wanakuwa wanaongeza baridi na kusababisha joto la mwili kushuka.
Ila ukidate na hawa matipwatipwa kipindi hiki cha baridi, utajiona uko ulimwengu mwingine tofauti kutokana na raha utakayoipata....kwanza joto la mwili linaongezeka kwa kasi, hata ukitaka kum-hug mikono inaenda 'automatically'