Timu ya kampeni ya UKAWA/Lowassa mko wapi kwe social media jamani?!

Timu ya kampeni ya UKAWA/Lowassa mko wapi kwe social media jamani?!

Mimiwikolo

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
218
Reaction score
19
Leo Lowassa yuko wp? vp updates, picha/video ziko wp?! Hivi hakuna official page ya kutupatia update kadri ya matukio yanavokwenda? Mbona CCM wameweza sana katika hilo kila dakika wanapost ishu za kampeni za Magufuri facebk kwe page yao, pia wanapage youtube, team ya kampeni ya UKAWA vp? Tumieni social media zaidi watu tuwe update na kinachoendelea binafsi mnanibore sana, tena sana. Mtu unahangaika kutafuta nini kinaendelea kwa Lowassa huko mikoani hupati. We are at the peak of the game and we are the leading team so far in the ground. So UKAWA campaign team you need to be active than any other player, don't sleep, don't sleep i repeat. By the way naomba anaejua official page ya kampeni za UKAWA/Lowassa fb, youtube au kwingineko ikiwamo hapa jf anijuze coz natafuta sipati. Page ya Team Lowassa yenyewe fb wanalala tu. Matukio ya jana ndo wanapost leo. Ukienda kwe blog/web ya chadema yenyewe hamna kitu, tutafika kweli kwa staili hii?! Naskia kuna whatsapp group ya UKAWA/Lowassa naomba mhusika ani add na mimi 0758397557.
 

Attachments

  • vlcsnap-4322-08-20-02h42m14s460.jpg
    vlcsnap-4322-08-20-02h42m14s460.jpg
    19.5 KB · Views: 354
  • vlcsnap-3563-03-03-00h48m15s413.jpg
    vlcsnap-3563-03-03-00h48m15s413.jpg
    15.9 KB · Views: 328
Leo Lowassa yuko wp? vp updates, picha/video ziko wp?!

Sifa ya mama ni kuwa na huruma na kuhurumia mtu anapokuwa na shida.Hali ya mzee Lowasa inahitaji mtu mwenye huruma wa kumhurumia na kumwambia mzee kazi ngumu kama mizunguko ya kampeni haikufai kwa umri na hali yako inavyoonekana mbele za watu ukiwa jukwaani.

Regina humwambii watu wananong`ona nini kila akimaliza hotuba zake? Unajifanya huoni na husikii au una roho ya kikatili isiyojali?

Hivi mama Regina Lowassa huoni kweli hali ya mzee Lowassa inavyoonekana akiwa jukwaani kuwa umma unamwona ana tatizo la kiafya.Kwanini kumwacha mmeo ajianike mbele za watu aadhirike wakati upo jamani.Si umwambie aachane na masiasa?

Makabila mengine hali aliyo nayo ile likitokea la kutokea ingawa hatuombei litokee lakini likitokea mama Regina utaitwa mwanamke mchawi au katili kuliko wanawake wote kwa kumwacha mumeo ashinde majukwaani badala ya kuwa wodini au akiugulia nyumbani ukijua ana afya mbaya ukamwacha afie mabarabarani.

Na ndugu wa mume wanaweza kuja kukukimbiza na mashoka kwa kusababisha kifo cha ndugu yao.
 
Leo Lowassa yuko wp? vp updates, picha/video ziko wp?! Hivi hakuna official page ya kutupatia update kadri ya matukio yanavokwenda? Mbona CCM wameweza sana katika hilo kila dakika wanapost ishu za kampeni za Magufuri facebk kwe page yao, pia wanapage youtube, team ya kampeni ya UKAWA vp? Tumieni social media zaidi watu tuwe update na kinachoendelea binafsi mnanibore sana, tena sana. Mtu unahangaika kutafuta nini kinaendelea kwa Lowassa huko mikoani hupati. We are at the peak of the game and we are the leading team so far in the ground. So UKAWA campaign team you need to be active than any other player, don't sleep, don't sleep i repeat. By the way naomba anaejua official page ya kampeni za UKAWA/Lowassa fb, youtube au kwingineko ikiwamo hapa jf anijuze coz natafuta sipati. Page ya Team Lowassa yenyewe fb wanalala tu. Matukio ya jana ndo wanapost leo. Ukienda kwe blog/web ya chadema yenyewe hamna kitu, tutafika kweli kwa staili hii?! Naskia kuna whatsapp group ya UKAWA/Lowassa naomba mhusika ani add na mimi 0758397557.

Yuko mkoa wa Njombe mkuu
 
Kweli we need updates kila baada ya muda kujua mgombea wetu yupo Wapi na anafanya nini, hili sio la kukumbushwa jamani.
 
Pole mkuu nahisi nao watakua likizo maana watu wameshalalamika wameshaongea wewe si wakwanza jaribu kwenda kwenye page Yake lowasa fb
 
Sifa ya mama ni kuwa na huruma na kuhurumia mtu anapokuwa na shida.Hali ya mzee Lowasa inahitaji mtu mwenye huruma wa kumhurumia na kumwambia mzee kazi ngumu kama mizunguko ya kampeni haikufai kwa umri na hali yako inavyoonekana mbele za watu ukiwa jukwaani.

Regina humwambii watu wananong`ona nini kila akimaliza hotuba zake? Unajifanya huoni na husikii au una roho ya kikatili isiyojali?

Hivi mama Regina Lowassa huoni kweli hali ya mzee Lowassa inavyoonekana akiwa jukwaani kuwa umma unamwona ana tatizo la kiafya.Kwanini kumwacha mmeo ajianike mbele za watu aadhirike wakati upo jamani.Si umwambie aachane na masiasa?

Makabila mengine hali aliyo nayo ile likitokea la kutokea ingawa hatuombei litokee lakini likitokea mama Regina utaitwa mwanamke mchawi au katili kuliko wanawake wote kwa kumwacha mumeo ashinde majukwaani badala ya kuwa wodini au akiugulia nyumbani ukijua ana afya mbaya ukamwacha afie mabarabarani.

Na ndugu wa mume wanaweza kuja kukukimbiza na mashoka kwa kusababisha kifo cha ndugu yao.

Ondoa utumbo wako hapa we magamba
 
Hawana hiyo akili. Wameridhika na Tsunami ya pale Jangwani
 
Back
Top Bottom