Betterhalfay
Senior Member
- Apr 3, 2015
- 170
- 33
Mkuu Ocampo, japo baadhi ya watu kwenye hizi team zako, unawabambikia tuu, mfano jina langu kwenye ile team ya yule jamaa yangu, hivyo hata hapa kutakuwa na majina ya uongo!, ila asante kwa very good analysis japo ume mu under estimate yule kijana aliyepachikwa pale Maelezo!.
Ila huyu jamaa, No. 4, ndiye aliyekuwa the "master mind" wa kampeni ya JK, nakumbuka tukiwa pale UDSM, ndipo JK alipotangazia nia!, kwa kukitumia kikundi cha kina Omar Ilyas na Jaque wa ZZK, jamaa huyu ali facilitate JK akaja kutangazia nia pale Nkurumah, pia najua alizawadiwa nini baada ya kazi ile nzuri!. Sijui na alipo Ilyas ndizo shukrani zenyewe au laa!.
Ili kuijua team "La Mdimu" ni nani na nani, njoo Dodoma siku MFA inawasilisha budget yake, utawaona wote, na ni kweli huwa namuona huyu jamaa, hii inamaanisha mgombea yoyote anayesupportiwa na huyu jamaa ndiye rais wetu wa 2015!.
Hili la kuonekana kama haeleweki, pia linawezekana ili kulinda track record yake, hawezi kuendelea kupoteza nguvu na resources zake kwa mtu asiyeuzika kabisa!, panga pangua, piga ua galagaza, yule "jamaa yangu" ndio mpango mzima!, nadhani huyu jamaa amelitambua hilo and I hope soon atafanya uamuzi wa busara!.
Thanks.
Pasco
Mkuu Ocampo,umetoa analysis nzuri na yenye mshindo kwa wafuatiliaji...Mkuu Pasco,it's my hope kwamba EL anaweza kutuvusha kuelekea kwenye nuru hasa ukiwapitia mtia nia mmoja mmoja.
Wengi wameshindwa kupambanua wanachokikusudia na wengine wamejikita kwenye kueleza masuala ya kichama badala ya kuuangalia umma wa wa-tz.