Timu ya kampeni ya Bernard Membe hii hapa

Timu ya kampeni ya Bernard Membe hii hapa

Mkuu Ocampo, japo baadhi ya watu kwenye hizi team zako, unawabambikia tuu, mfano jina langu kwenye ile team ya yule jamaa yangu, hivyo hata hapa kutakuwa na majina ya uongo!, ila asante kwa very good analysis japo ume mu under estimate yule kijana aliyepachikwa pale Maelezo!.

Ila huyu jamaa, No. 4, ndiye aliyekuwa the "master mind" wa kampeni ya JK, nakumbuka tukiwa pale UDSM, ndipo JK alipotangazia nia!, kwa kukitumia kikundi cha kina Omar Ilyas na Jaque wa ZZK, jamaa huyu ali facilitate JK akaja kutangazia nia pale Nkurumah, pia najua alizawadiwa nini baada ya kazi ile nzuri!. Sijui na alipo Ilyas ndizo shukrani zenyewe au laa!.

Ili kuijua team "La Mdimu" ni nani na nani, njoo Dodoma siku MFA inawasilisha budget yake, utawaona wote, na ni kweli huwa namuona huyu jamaa, hii inamaanisha mgombea yoyote anayesupportiwa na huyu jamaa ndiye rais wetu wa 2015!.
Hili la kuonekana kama haeleweki, pia linawezekana ili kulinda track record yake, hawezi kuendelea kupoteza nguvu na resources zake kwa mtu asiyeuzika kabisa!, panga pangua, piga ua galagaza, yule "jamaa yangu" ndio mpango mzima!, nadhani huyu jamaa amelitambua hilo and I hope soon atafanya uamuzi wa busara!.

Thanks.
Pasco

Mkuu Ocampo,umetoa analysis nzuri na yenye mshindo kwa wafuatiliaji...Mkuu Pasco,it's my hope kwamba EL anaweza kutuvusha kuelekea kwenye nuru hasa ukiwapitia mtia nia mmoja mmoja.
Wengi wameshindwa kupambanua wanachokikusudia na wengine wamejikita kwenye kueleza masuala ya kichama badala ya kuuangalia umma wa wa-tz.
 
Hakuna mwenye sifa za kuwa Rais wa nchi hii ndani ya CCM.!!!
Hili nimekutananalo wakati jamaa mmoja akimueleza mwenzie kuwa kutafuta mwadilifu ndani ya CCM ni sawa na kutafuta Mwanamwali/ bikra ndani ya wodi ya Wajawazito.........Nimeshangaa na kusikitika sanaaaaa...........!!!
 
Ccm msimpomsimamisha membe kura yngu inaenda upinzani.Membe ndo jembe hakuna mwngne.
 
All in aĺl ccm ndio itatoa rais.wengine ni wasindikizaji tu
 
yote kwa yote kura yangu ni ukawa. kutegemea mabadiliko ccm ni sawa na kusubiri meli uwanja wa ndege.
 
Waswahili wa pwani,wameproove failure katika uongozi wa nchi hii,sasa ni zamu ya wabara tuone kama nao wanaweza leta ya maana kw maendeleo ya taifa hili, sasa zamu ya wabara
 
ninafanya kazi rhino cement. naweza sema ridhiwani hana uhusiano na rhino cement otherwise u prove me wrong
 
Kwa maana hiyo tunaendelea na Kikwete kwa mgongo wa nyuma tukimchagua Membe. Huyu jamaa akishinda nahamia Kenya
 
Back
Top Bottom