Nimeipenda hii ya kushauriwa na mke wake!Hakuna mwenye sifa za kuwa Rais wa nchi hii ndani ya CCM.!!!
Nimeipenda hii ya kushauriwa na mke wake!Hakuna mwenye sifa za kuwa Rais wa nchi hii ndani ya CCM.!!!
Una akili sana wewe!msaada jamani,nataka kujiunga na Team Makamba,ka galaxy 3 kangu kamevunjika nataka nipate Galaxy5
Nimesikiliza maombi yako mkuu naleta uzi wake jumapili au jumatatu......asante sanaMkuu ocampo four naomba kambi ya Wassira
Mbona umetumia nguvu nyingi kuandika nonsense.hafu wewe si analyst maana hoja zako licha tu hazina logic lakin ziko bias sana,ila upende usipende Membe kichwa bwana mengine yako ni mbwembwe tu
Hhahahhaaha google map inaonyesha hii post imeandikwa kutoka ofisi za WAMA.......Safari hii imekula kwenu tangu lini mke wa rais awachagulie watanzania mgombea never on Earth........
Mkuu mbona wale wa jana ulikuwa unawapamba na kuwajenga lakini hawa wa leo ni kama unawatukana na kuwachafua siasa kazi kweli tutaona mengi sana mwaka huu wanaotumiwa watajulikana na hata wanaotumwa nao watajulikana.
Uchambuzi wako una kilema! Jana ulimwaga sifa kibao leo kundi hili unalikandya - mara useme WAMA ni wakusanya fedha mara Gotham. Hueleweki live!
Wewe ni agent wa kutengeneza makundi ndani ya ccm sasa sisi rais ajaye tunaka asiwe na makundi!