ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
Mechi ya jana ilikuwa balaa tupu sikuamini macho yangu ktk kipindi cha pili dk za majeruhi pale ambapo tulipachikwa mabao mawili mpaka timu yetu ya kimarekani ikaanza kuchanganyikiwa.
Kwakweli sikuamini !! Kilichotokea.
Wakati nashangaa kapteni wa brazil akatoboa siri kuwa ushindi wao umetoka kwa Jesus,
Sikuwahi kuwaza kama Yesu unaweza kusaidia mpaka mpirani.
Hakika jina la Yesu linauweza mkubwa sana.
Sasa timu yetu ya kimarekani ijipange upya kurudisha heshima.
Kwakweli sikuamini !! Kilichotokea.
Wakati nashangaa kapteni wa brazil akatoboa siri kuwa ushindi wao umetoka kwa Jesus,
Sikuwahi kuwaza kama Yesu unaweza kusaidia mpaka mpirani.
Hakika jina la Yesu linauweza mkubwa sana.
Sasa timu yetu ya kimarekani ijipange upya kurudisha heshima.