Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,914
- 133,926
FT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
