YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Wafuasi wa Lowassa alioenda nao chadema ambao Bado wako ndani ya CHADEMA wamenyimwa kupewa fomu za kugombea uchaguzi ndani ya CHADEMA.
Je, watu Kama Mashinji na Salum Mwalimu ambao walikuwa ni timu Lowassa je uhai wao wa kisiasa ndani ya chama utakuwaje?
Je, watu Kama Mashinji na Salum Mwalimu ambao walikuwa ni timu Lowassa je uhai wao wa kisiasa ndani ya chama utakuwaje?